Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Hatari
Anauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
 
Acha ujinga wewe inaelekea hata hujui kinachoendelea huko NECCCM Tumeccm, Tambua kuwa licha figisu figisu za CCM kule NECCCM wapo watumishi wanampenda Tundu lisu wamempa taarifa kuwa kawekewa pingamizi na CCM, Lipumba , Shibuda na wengineo ambao wamenunuliwa na CCM kwa njia haramu ndipo na yeye kaamua kuweka pingamizi haraka, sasa ngoja mapingamizi yagongane huko huko ili CCM wapate kujifunza kuwa figisu figisu za kishamba huleta mlolongo mwingine usio na Tija kwa Taifa,
Hajawekewa pingamizi lolote lile
 
Anauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
Mm nikizania atakua twahujumu uchumi
 
Hapo kutakuwa na makosa kibao ila msishangae Tume kukana hizo nyaraka ingawa wao ndio walimpatia.
Lisu angakuwa na akili angewasaidia wagombea wake ambao majimbo yao ccm imepita bila kupingwa kuliko hizo drama zake hapo dodoma hazitamuingezea chochote
 
Kilichotokea kimetokea nani kafanya binafsi sijui. Muhimu kwa sasa ni Lissu akamilishe matibabu yake ya kiakili ili aweze endelea na maisha yake without having to live deal mental torture on daily basis.
Lissu is fresh mentally, mwenye tatizo la kisaikolojia ni wewe njoo tukutafutie wataalam wakusaidie!
 
Sitashangaa na Jiwe nae akiweka pingamizi kuwa Lisu ana urafiki na Mabeberu kina Robati Amstedam ambao huwa wanatabia ya kuingilia mambo ya nchi zingine zisizowahusu.
 
Back
Top Bottom