Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

You see that is the problem what you are discribing are behaviours much associated with serious forms learning disability and not mental health with exception to schizophrenia.

Google first what is abnormal behaviour and it’s signs ndio utaona matatizo ya Lissu kwa sasa ni moderate.

IMG_5758.png

someone offered his own mother to a stranger in exchange for a Hen ,was that not abnormal psychology ?
 
Kwa hiyo wewe kwa akili yako kabisa unaamini pale kuna pingamizi lenye maana la kumuondoa Magufuli kwenye ugombea?

Au unafikiri kwakuwa tu linaitwa pingamizi basi pingamizi lolote lina maana?

Lisu angekuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagimbea wake ambao majimbo yao yametwaliwa na ccm kuliko kupoteza muda hapo kwenye tume
Uwezo wa akili zenu huwa unanishangaza sana, si ajabu tafiti zinaonesha CCM ni Chama kinachopendwa na Wajinga na watu wasio na Elimu
 
You see that is the problem what you are discribing are behaviours much associated with serious forms learning disability and not mental health with exception to schizophrenia.

Google first what is abnormal behaviour and it’s signs ndio utaona matatizo ya Lissu kwa sasa ni moderate.

naweza kukubaliana na wewe kwamba matatizo ya Lissu ni moderate,lakini usisahau yule mwenzie yake ni critical kabisa
 
Sasa mbona mnatoa hadithi nusu nusu. Wameweka pingamizi kwa vigezo gani? Ushahidi gani upo ili mahakama ya hadharani ianze kuwashinikiza NEC?

Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Eti sijui miwani iko upande na sikio moja halionekani.

Huyu kesi anapenda mpaka nacheka sana.

Kwahiyo hapo ni tofasri ya passportsize.
Najua hata ya kwake na mgombea mwenza hazifanani, wala wabunge na madiwani wake wote
 
Na amewaweka kweli kwenye wakati mgumu sana sana
Yes, you are very right...

But all in all pingamizi limewekwa...

On the other hand, Tundu Lissu anajaribu kufunua mapungufu makubwa ya mfumo wetu wa kisheria na kikatiba unaosimamia chaguzi zetu....

It's no doubt that, Magufuli (Rais) kwa kutumia cheo chake na mamlaka yake ya "Urais" amefanya makosa na kuvunja sheria waziwazi kabisa za uchaguzi....

Kwa sababu, wote tunafahamu kuwa ni vigumu sana "Incumbent President" kutiwa hatiani hata kama amekosea...

Mimi nawaonea huruma M/kiti wa NEC na wakurugenzi wake...

They are really having a very difficult time to make decisions about this....

This is absolutely the most difficult times in their entire life...

I am sure they are throwing so much blames on this man who once died and back to life again....!!

Hili swali ndilo wanalojiuliza wana NEC haaa...

Kwanini Tundu Lissu unatuweka katika wakati mgumu hivi??
 
View attachment 1548880
someone offered his own mother to a stranger in exchange for a Hen ,was that not abnormal psychology ?
You need to tie abnoramality with its root causes, rate the individual coping mechanism of the patient based on his upbringing as each psychological condition has it trigger; it could one or more.

Understanding that allows you to design an appropriate behaviour modification approach.

Sasa wewe unaenda ku google halafu unakimbilia Wikipedia ambayo aiwezi kukupa picha nzuri kuhusu abnormality psychology.

Just get Lissu some help.

Jioni njema.
 
Namsikiliza hapa genius wetu Tundu Lissu akitudadavulia mapingamizi aliyoyaweka. We need you TL, hicho kichwa inabidi kitusaidia kuweka sawa hii nchi. #NiYeye2020
Unamsikiliza wapi ndugu. Embu niambie na mimi nimsikilize shujaaa
 
Back
Top Bottom