OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tunaomba iwe live
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba iwe live
You see that is the problem what you are discribing are behaviours much associated with serious forms learning disability and not mental health with exception to schizophrenia.
Google first what is abnormal behaviour and it’s signs ndio utaona matatizo ya Lissu kwa sasa ni moderate.
Uwezo wa akili zenu huwa unanishangaza sana, si ajabu tafiti zinaonesha CCM ni Chama kinachopendwa na Wajinga na watu wasio na ElimuKwa hiyo wewe kwa akili yako kabisa unaamini pale kuna pingamizi lenye maana la kumuondoa Magufuli kwenye ugombea?
Au unafikiri kwakuwa tu linaitwa pingamizi basi pingamizi lolote lina maana?
Lisu angekuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagimbea wake ambao majimbo yao yametwaliwa na ccm kuliko kupoteza muda hapo kwenye tume
Ee Magu anavopenda live tuone safari hii kama atakuwa na huo ujasiri wa kuonekana live TBC akihenyeshwa na LissuTunaomba iwe live
You see that is the problem what you are discribing are behaviours much associated with serious forms learning disability and not mental health with exception to schizophrenia.
Google first what is abnormal behaviour and it’s signs ndio utaona matatizo ya Lissu kwa sasa ni moderate.
Eti sijui miwani iko upande na sikio moja halionekani.Sasa mbona mnatoa hadithi nusu nusu. Wameweka pingamizi kwa vigezo gani? Ushahidi gani upo ili mahakama ya hadharani ianze kuwashinikiza NEC?
Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
Hii ndiyo sababu iliyonifanya nichukue LLB.Haya wale mliokuwa mnasema Lissu kakosea kutokupeleka majina ya wadhamini kwa wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo.
View attachment 1548879
Akili zetu zitakushangaza zidi siku tatu baada ya oktoba 28Uwezo wa akili zenu huwa unanishangaza sana, si ajabu tafiti zinaonesha CCM ni Chama kinachopendwa na Wajinga na watu wasio na Elimu
Yaani nawtazama CHADEMA nasema hiii!Chadema kwa kupenda kujifurahisha bhana hahahahaha
Yes, you are very right...
But all in all pingamizi limewekwa...
On the other hand, Tundu Lissu anajaribu kufunua mapungufu makubwa ya mfumo wetu wa kisheria na kikatiba unaosimamia chaguzi zetu....
It's no doubt that, Magufuli (Rais) kwa kutumia cheo chake na mamlaka yake ya "Urais" amefanya makosa na kuvunja sheria waziwazi kabisa za uchaguzi....
Kwa sababu, wote tunafahamu kuwa ni vigumu sana "Incumbent President" kutiwa hatiani hata kama amekosea...
Mimi nawaonea huruma M/kiti wa NEC na wakurugenzi wake...
They are really having a very difficult time to make decisions about this....
This is absolutely the most difficult times in their entire life...
I am sure they are throwing so much blames on this man who once died and back to life again....!!
Hili swali ndilo wanalojiuliza wana NEC haaa...
Kwanini Tundu Lissu unatuweka katika wakati mgumu hivi??
You need to tie abnoramality with its root causes, rate the individual coping mechanism of the patient based on his upbringing as each psychological condition has it trigger; it could one or more.View attachment 1548880
someone offered his own mother to a stranger in exchange for a Hen ,was that not abnormal psychology ?
I am non-partisan my friend..umesahau mlivyokuwa mkijigamba kwamba polisi ni mali ya ccm?
Unamsikiliza wapi ndugu. Embu niambie na mimi nimsikilize shujaaaNamsikiliza hapa genius wetu Tundu Lissu akitudadavulia mapingamizi aliyoyaweka. We need you TL, hicho kichwa inabidi kitusaidia kuweka sawa hii nchi. #NiYeye2020