Lisu hauzi unga, chama ni cha wanachama ndio watakaokichangia.Kipimo ni gari analochangiwa hadi Leo hela haijatimia…. Kama yeye alijibu simply hiyo mil 30 Hana Leo yeye ndo baba wa familia watu wanategemea waone mambo yanasonga.
Hao 48% ni asilimia ndogo sana ya wanachademaAmesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Utajiri wa ccm unalindwa na yenyewe kuwa madarakani, ukiitoa madarakani itakufa kama yale mashirika ya umma yalivyokufa.Nadhani kiongozi mbowe ni mjinga sana. Inamaana hata kama ngo yake angepata kiti cha urais uwezekano mkubwa angefanya ufisadi kuimarisha chama. CCM tuna vyanzo vya mapato vingi na tuna hela ni chama tajiri.
Mna utoto mwingi sana!! Hapo ulipo zaidi ya kupiga domo hata kuchanga 50K huwezi…. Uzuri hivi vitu havitaki maneno maneno zaidi ya vitendo….. muda utaongea.You wish.
Pole sana
Uzuri wanaharakati wa kipumbavu huongozwa na mihemko ya Kitoto sana…. Muda ni hakimu Mzuri sana tupo hapa. Wazungu wana msemo wao usemao ‘curiosity killed the cat’ haya mambo tunauachia muda utatuambia tuuu…. Relax changia hela ujenge chama.Lisu hauzi unga, chama ni cha wanachama ndio watakaokichangia.
Wewe kumbe unafikiria hela kubwa hvyo? Chadema roughly tupo 6m pigia kwa bukubuku wew mwenye usungo😏Mna utoto mwingi sana!! Hapo ulipo zaidi ya kupiga domo hata kuchanga 50K huwezi…. Uzuri hivi vitu havitaki maneno maneno zaidi ya vitendo….. muda utaongea.
Acha jazba, chama ni cha wanachama sio cha mwenyekiti. Hili ni dua la kuku.Uzuri wanaharakati wa kipumbavu huongozwa na mihemko ya Kitoto sana…. Muda ni hakimu Mzuri sana tupo hapa. Wazungu wana msemo wao usemao ‘curiosity killed the cat’ haya mambo tunauachia muda utatuambia tuuu…. Relax changia hela ujenge chama.
Mna mihemko ya balehe…. Uzuri muda husema yote.Wewe kumbe unafikiria hela kubwa hvyo? Chadema roughly tupo 6m pigia kwa bukubuku wew mwenye usungo😏
Ni wewe tu una kinyongo na nilishakuambia kuwa wewe si mwanachadema kwani hata kipindi chote kuelekea uchaguzi ulikuwa unahubiri watu waondoke Chadema. Hao 48% unaosema wameshaanza maisha mapya ya Chadema moja yenye nguvu. Hujui hata uchungu wa ku recruit wanachama wapya ndiyo maana unaongea kirahisi hivyo.Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Siwezi ombea dua la Kuku CDM Nimetoka nayo mbali sana!! Lissu hakujiandaa kuiongoza CDM na kwa nature ya watanzania Hana muujiza wowote ule kuikwamua kifedha…. Hii pride ya kipumbavu na kitoto mliyonayo very soon mtaimeza….Acha jazba, chama ni cha wanachama sio cha mwenyekiti. Hili ni dua la kuku.
Cdm ni chama cha siasa sio taasisi ya kifedha. Kama chama kitakufa kwa wanachama kutokukichangia acha kife maana ndio uhalisia, kuliko kuendeshwa na drug cartels. Kama vipi kwakuwa Mbowe mnasema ana hela akaanzishe chama kingine astaafu akiwa na miaka 68. Hivi vitisho vya kijinga pelekeeni waabudu pesa za rushwa.Siwezi ombea dua la Kuku CDM Nimetoka nayo mbali sana!! Lissu hakujiandaa kuiongoza CDM na kwa nature ya watanzania Hana muujiza wowote ule kuikwamua kifedha…. Hii pride ya kipumbavu na kitoto mliyonayo very soon mtaimeza….
Hii spirit ya kumtegemea mtu 1 kwa kila kitu ndo ilikua inawafanya mnanunuliwa kirahisi.Mbowe aliifanya CHADEMA duka lake binafsi.Ukweli mchungu ni Kwamba CHADEMA ilikua bado sana kuishi bila Mbowe…. Muda ni msemo Kweli tutajionea…. Nyie wanaharakati uchwara na wapumbavu ndo mtaiua CDM
Unakumbuka Mbowe na Sugu walipofungwa au walipe fine ya 30m each!! Mbona wananchi walichanga ndani ya siku 3 wakatolewa.Usilinganishe ushabiki wa mpira na siasa
Nchi hii watu wako tayari kuchangia timu yao au hata kuifata inakocheza kwa gharama zao lakini sio siasa
Mshauri sasa cha kufanya .Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Umaskini na unyani wa fikra unakusumbua nilikudharau sana uliposema unatamani jeshi lichukue nchi mna utoto mwingi sana watu tulikua tunachnagia hadi milioni 5 CDM Leo mnaita hela Za wauza unga!! Mna thinking Za kishenzi sana kama Za Akina Magufuli…. Uzuri haya mambo huwa hayahitaji porojo…..Cdm ni chama cha siasa sio taasisi ya kifedha. Kama chama kitakufa kwa wanachama kutokukichangia acha kife maana ndio uhalisia, kuliko kuendeshwa na drug cartels. Kama vipi kwakuwa Mbowe mnasema ana hela akaanzishe chama kingine astaafu akiwa na miaka 68. Hivi vitisho vya kijinga pelekeeni waabudu pesa za rushwa.
Kamanda changia chama…. Hivi inaingia akilini mjumbe wa KK anashindwa Jilipia 100K ya hoteli? Lissu alishindwa hata lipia 30M!!Hii spirit ya kumtegemea mtu 1 kwa kila kitu ndo ilikua inawafanya mnanunuliwa kirahisi.Mbowe aliifanya CHADEMA duka lake binafsi.
Hiyo tofauti ya 52% kwa 48% inahusu wanachama wote wa Chadema au wajumbe wenye sifa ya kupiga kura? Kwani Mbowe alikuwa anatoa pesa?Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Hapo ulipo umelalia neti yenye matobo hata kodi ya elfu 50 inakushinda unaharisha JF utatoa 10M kwa chama!!!!! Lissu mjinga na ana mambo ya kitoto sana kuvimba kichwa kwa sentiments Hizi Za baleheTutachanga,Binafsi nitajitahidi niweke mambo sawa walau kila mwezi niingize japo 10,000,000.