komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Watafute wachumi bingwa na wataalam wa fedha wawashauri na ya kupata fedha bila vikwazo na kwa njia halali. Government Bond, UTT, nkIla chadema wapunguze kuomba omba wanakuwa omba omba kwani pesa wanayopewa na serikali kwa ajili ya kuendesha chama huwa inaenda wapi inafanha kazi gani?
Wewe uliiona Chadema ndio Mbowe na Mbowe ndio Chadema.....Ukweli mchungu ni Kwamba CHADEMA ilikua bado sana kuishi bila Mbowe…. Muda ni msemo Kweli tutajionea…. Nyie wanaharakati uchwara na wapumbavu ndo mtaiua CDM
Msiishie kusema hadi mnarusha mate hadi mnatokwa ute changieni chama sio mnaikisa matumbo mnaacha wajumbe wanashalilika mahoteliniWewe uliiona Chadema ndio Mbowe na Mbowe ndio Chadema.....
Huna lolote Mataga weweMna mihemko ya balehe…. Uzuri muda husema yote.
Wanaume woga mnawatis nuksi wanaume wenzenu..wewe hofu yako iko angle gani? KhaaUkweli mchungu ni Kwamba CHADEMA ilikua bado sana kuishi bila Mbowe…. Muda ni msemo Kweli tutajionea…. Nyie wanaharakati uchwara na wapumbavu ndo mtaiua CDM
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Kumbuka hao 48% wengi wao walihongwa hivyo hawakuwa na mapenzi ya dhati moyoniAmesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Pole sana manka, kama mmeumia Mbowe kushindwa hameni chama.Ukweli mchungu ni Kwamba CHADEMA ilikua bado sana kuishi bila Mbowe…. Muda ni msemo Kweli tutajionea…. Nyie wanaharakati uchwara na wapumbavu ndo mtaiua CDM
Kumbe mlikua mnachangia na huku chama kikiongozwa na Tajiri Mbowe, acha na sisi tutachangia bukubuku kwa sababu kinaongozwa na mbangaizaji mwenzetu. Wengine tulidhani kipindi kinaendeshwa na Billionea watu walikua hawachangii!!.Umaskini na unyani wa fikra unakusumbua nilikudharau sana uliposema unatamani jeshi lichukue nchi mna utoto mwingi sana watu tulikua tunachnagia hadi milioni 5 CDM Leo mnaita hela Za wauza unga!! Mna thinking Za kishenzi sana kama Za Akina Magufuli…. Uzuri haya mambo huwa hayahitaji porojo…..
Yaani seriously unasema bora chama kife?? Hizi akili Za kipumbavu na kinyani ndo Lissu anazitegemea seriously???
Siasa ni Pesa sio kuongea ongea hadi unatokwa ute mweupe mdomoni…..
sjawahi sikis hii, nipe hanbari70 M alizolipiwa Mbowe ndani ya saa 24
Hujasoma statistics, this is a representative sample....sampling...wewe ni kama ule mgomba unaoitwa Juma Mhuni, unadanganya sana kujifanya nao unatoa ndizi kume ni ndizi mhuni tu...KAMA WEWEMbowe 🐼
Halafu usiwe mjinga hiyo 48% ni Watu 500 tu 😂
YOUR WISHES ANYWAY! DIASPORA WANA HELA GANI, WAKO WANGAPI CHADEMA AU SPCES NDIZO ZINAKUPOTEZAChama kinaweza kabisa kwenda kwa michango wakijipanga.
1. Diaspora wana pesa nyingi na wanapenda demokrasia. Chadema ikijipanga na kusema wachangiwe pesa ya kupigania katiba mtaona michango mingi sana. Mimi na rafiki zangu mfano hapa diaspora tunaweza kuchangia lakini tunasubiri tuone mpango kamili ili tusaidie taifa letu.
2. Misaada ya vyama rafiki. Kama wakionyesha uadilifu na matumizi mazuri vyama rafiki vingi Duniani vipo tayari kuchangia hasa wakiweka mipango mizuri na kuwa wawazi. CCM inasaidia sana na Chama cha Kijamaa cha china! kwa mfano
3. Watanzania kwa njia ya digital card. Yaani card za mitandao na kwasasa watanzania wengi wana matumaini
Chadema kwa mpango wa mbali wanatakiwa wawe na account na wanumue Bondo za Tsh10B amabzo zinalipa 10%-14% kwa mwaka. Hili fungu likuwe mpaka Tsh30B
EVIDENCE?Kumbuka hao 48% wengi wao walihongwa hivyo hawakuwa na mapenzi ya dhati moyoni
China ingekuwa na wajinga wengi sanaWatu wafupi huwa na akili fupi sana.
Watu wafupi wengi ni wajinga.
John Mrema alilia ukumbini kama kitoto kichanga bosi wake alivyokataliwa na wajumbe.Mtoa mada bado analia baada babu yake kutolewa
Hawa watu walikuwa wametengeneza kichanell cha kupigia hela wanalia hawaamini
IKO SHIDA NA HUYU MTU! KMA MREMA ANAKOELEKEA . CHADEMA ITKUWA KAMA TLPKama yeye alijibu simply hiyo mil 30