Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Wewe upo Ulaya haupo karibu na watanzania. Ni ngumu sana kukutilia maanani na kuacha shughuli zao kukaribisha mwaka mpya na kufuatilia hotuba yako.

Maana hotuba yako itakuwa na impact gani kwa watanzania? Wewe ni mtanzania tu unayeishi huko ubelgiji. Huna impact yoyote kwa maisha ya watanzania.

Sasa bora uungane na watanzania kusubiri hotuba ya mama Samia rais wa JMT.
Wanakaribia kufika japo wako moto saana
 
Rais ajaye mwaka 2035 labda!!!!!!!
Mama tuna mpa 10 baada ya kumaliza hii ya Mwendazake 5
 
Nimeshajiandaa kusikiliza hotuba ya lisu. Hotuba itakayotoa mwelekeo mbadala wa taifa. Kwani shingap kuilipia hotuba make itakua madini tupu
 
Mna hamu nae nyie huko UFIPA.

Usitujumlishe kama SAMAKI.
 
Nipo live hapa
Screenshot_20211231-181149_Chrome.jpg
 
Wewe upo Ulaya haupo karibu na watanzania. Ni ngumu sana kukutilia maanani na kuacha shughuli zao kukaribisha mwaka mpya na kufuatilia hotuba yako.

Maana hotuba yako itakuwa na impact gani kwa watanzania? Wewe ni mtanzania tu unayeishi huko ubelgiji. Huna impact yoyote kwa maisha ya watanzania.

Sasa bora uungane na watanzania kusubiri hotuba ya mama Samia rais wa JMT.
Huyo hanganya labda aongee na nyie hapo Lumumba sisi hatuna muda nae. Serikali ya kinyonyaji kama hii ya nini sasa?
 
Back
Top Bottom