Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266

Hicho ni kitendo cha kenge kujifanya mamba. VP mwenyewe hulihutubia taifa kwa nadra sana. Mara nyingi ni pale tu anapomwakilisha Rais kwenye shughuli ya kitaifa.

Hawa mifugo wa wazungu wanachoweza kufanya ni televised press conference tu!
 
WaTanzania leo bila kujali vyama au itikadi, tuifuatilie hotuba hii kupitia JamiiForums bila kukosa tupate ujumbe toka kwa kiongozi wetu Tundu Antipas Lissu kuhusu mustakabhali wa nchi yetu Tanzania na hasa yaliyojiri mwaka 2021 na kuelekea 2025 kwa kuanzia na 2022.
 
Kwa taarifa yako hata chini vya wakoloni, kuna watanzania walikuwa na maisha bora, lakini bado tulidai uhuru bila kujali kuwa kuna watanzania wana maisha bora ndani ya huo ukoloni. Pls stop childsh arguments.
Hivi huwa umeenda shule kweli? Kuondoa ukoloni na mtu kuwa na maisha bora kunaingiliana?
 
Mgombea Urais huyu alitutangazia kifo cha Rais wetu mpendwa tena mpaka ugonjwa uliomuua ilihali dola ilikuwa bado haijaamua kutuambia....

Wasiojua protocal, anapokufa Rais wa nchi huwezi tu kutangaza hovyohovyo harakaharaka maana kifo ni kitu cha ghafla na kwa wakati huo lazima dola ijipange kwanza kwa kuweka mambo sawa...Rais ni kiongozi wa dola, anapokufa lazima watu waitane kwanza waweke mambo sawa na kuset utaratibu na kuinform inner circle yote juu ya mipango na utaratibu...

Mgombea Urais huyu akatutangazia Kifo cha Mlinzi wa Rais Marehemu JPM na ugonjwa wake uliomuua tena kwenye media kubwa kabisa duniani BBC, ilihali huyu mlinzi alikuwa hai na mzima wa Afya kabisa..

Tunaweza kumuamini mtu kama huyu, eti tumpigie kura na kumpa dola...?
Mtamchukia sanaaa Lissu kwa sababu Hamjui hata kuunganisha dots, kilichotokea ni kwamba Mungu Katia funzo kubwa sana kwa tunaoishi,jitu lililokuwa na dhamira ya kuondoa uhai wa Lissu limekufa ilhali likiwa na ulinzi mkali, access za hospital kubwa popote duniani lingeweza kwenda, tena akiongozana na madaktari bingwa wakati wote, akajiona yeye ndiye Mungu mwenyewe kwa kuagiza/kunyamazia kuuawa kwa watu wengi chini ya utawala wake, hivyo kuishia kujiturumua na kutumia miguvu yake kuonea wengine...

Mungu akaamua kutupa onyo na kutufundisha tu kwamba ni yeye tu mwenye mamlaka juu ya maisha yetu, akaacha Lissu asiye na ulinzi wala daktari maalum aishi, pamoja na kutandikwa kwa mvua ya risasi ili afe, then aliyetaka kumuua akafa kiulainiii bila hata kupigwa risasi moja, na Sasa anaendelea kuliwa na funza huko Chato...

Tujifunze, kwa hii historia, Ina funzo kubwa sana kwa vizazi vyetu na vizazi vijavyo!
 
Ukiona mtu anatusi mwingine ujue kaishiwa hoja

And that is why you will never achieve anything by trash talking others

Wise up, help your leaders to wise up and make progress

Mtaishia kutukana tu kila anayewapa ukweli hadi siku ya mwisho
Si Bora zaidi anayetukana kuliko anayeua kabisa au kusingizia wenzake kesi kubwa kubwa ili wafungwe kabisa?
 
kifo cha Rais hakitangazwi tangazwi tu hovyohovyo....hutangazwa pale tu itakapoamuliwa kutangazwa...tujifunze kujua dola inafanyaje kazi...Yule mtu wenu hata mambo madogo tu kama haya hayajuia mnataka apewe dola...mjifunze kwanza protocal za nchi..
Hizi sio enzi za acha kutete ujinga, yaani Rais was nchi awe mgonjwa umma usijulishwe tena usimame mbele ya madhabahu na kuaminisha umma kwamba Rais ni "mzima wa afya na anachapa kazi" ilhali ni uongo mtupu...

Kwani ikitolewa taarifa kwamba anaumwa tumuombeeni Kuna mapungufu gani?

Haya ulisema ni mzima wa afya, afu siku mbili baadaye inasemwa kwamba AMEKUFA ndiyo protocol hiyo?? Upuuzi tu
 
ndio shida ya kufanya kila jambo siasa, ule ulikuwa mfano kama tungelipwa basi hela ile ingeweza kumnunulia kila Mtanzania Noah..

Huoni leo hii Serikali ni share holder kwenye migodi ya Barrick na kuna joint company inaitwa TWIGA....huoni kule kabanga nickel nako kuna joint company inaitwa TEMBO....angalau kidogo kimepatikana baada ya watu kupigana...hii ndio maana ya Legacy...tuambie sasa huyo mgombea wako nini ameligania kwa Taifa na watanzania hata 10mil tu wakanufaika...?
Nakusaidia tu, kasome andiko la Lissu kuhusu issues za madini na uwekezaji nchini, nenda Bulyanhulu huko kawaulize wananchi wa kule namna Lissu alivyowasaidia wakati kina Mkapa na chama chake wakileta hao wawekezaji kwenye migodi hiyo,watakwambia...

Hilo andiko linaitwa " The golden opportunity" litafute then ujebyena hapa kusema uyasemayo...

Na kwa kukusaidia tu, punguza chuki za kijinga bila kufikiria sawasawa, yaani mnashangilia kuwa "angalau Kuna ubia kwenye makampuni makubwa ya uchimbaji madini, umewahi kuona contract yoyote ya hizo kampuni?

Na je walipokuwa wanaingia nchini kwa Mara ya kwanza kabisa, tunajua terms and conditions walizokubaliana? Na kwa ujinga wa watu wanamlaumu Lissu kuwa anatetea wezi wa madini ila huwasikii wakihoji kuwa Lissu ndiye aliye waleta? Kama hakuwaleta yeye, anawateteaje? Eti waliowaleta na kusaini nao mikataba ni watetezi, atu Lissu anayepiga kelele miaka yote kuea tunapigw kwenye madini ndo amegeuka kuwa mtetezi wa wawekezaji ambao Wala hajawaleta yeye!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kidemokrasia yupo na haki. Ila nitashukuru baada ya hotuba kusikia petroli imeshuka bei, nyama, zagazaga, tozo zimefutwa, viongozi wamenyang’wa ma VX na kupewa Rav 4, usalama wa raia na mali zao umeongezeka, umeme na maji mwiko kukatika, mapato ya nchi yameongezeka kutokana kodi kuthibitiwa kwa yale makampuni makubwa, matumizi serikalini yamethibitiwa…nk nk.
Kama haya hayajafanyika basi tutajuwa tu kumbe ni utapeli wa wanasiasa wetu
 
Ni heri nimsikilize Lissu mtu mwenye akili timamu kuliko yule mwehu ambaye kauli yake ya mwisho kabla hajakata roho ni[emoji116]
"Kaa na mavi yako nyumbani"

sasa utazururaje na mavi!!!!jifunze kuwa unakunya kabla hujaanza kuzurula sandali.

nyinyi ndio mnaosafiri na mahindi mnakula njia nzima.
 
Mgombea Urais huyu alitutangazia kifo cha Rais wetu mpendwa tena mpaka ugonjwa uliomuua ilihali dola ilikuwa bado haijaamua kutuambia....

Wasiojua protocal, anapokufa Rais wa nchi huwezi tu kutangaza hovyohovyo harakaharaka maana kifo ni kitu cha ghafla na kwa wakati huo lazima dola ijipange kwanza kwa kuweka mambo sawa...Rais ni kiongozi wa dola, anapokufa lazima watu waitane kwanza waweke mambo sawa na kuset utaratibu na kuinform inner circle yote juu ya mipango na utaratibu...

Mgombea Urais huyu akatutangazia Kifo cha Mlinzi wa Rais Marehemu JPM na ugonjwa wake uliomuua tena kwenye media kubwa kabisa duniani BBC, ilihali huyu mlinzi alikuwa hai na mzima wa Afya kabisa..

Tunaweza kumuamini mtu kama huyu, eti tumpigie kura na kumpa dola...?

hakutangaza,alihoji.

huko chadema mmejazana watu wa ajabu sana.
 
Hizi sio enzi za acha kutete ujinga, yaani Rais was nchi awe mgonjwa umma usijulishwe tena usimame mbele ya madhabahu na kuaminisha umma kwamba Rais ni "mzima wa afya na anachapa kazi" ilhali ni uongo mtupu...

Kwani ikitolewa taarifa kwamba anaumwa tumuombeeni Kuna mapungufu gani?

Haya ulisema ni mzima wa afya, afu siku mbili baadaye inasemwa kwamba AMEKUFA ndiyo protocol hiyo?? Upuuzi tu
Walikuwa wanaogopa kuwa tutaanza kusheherekea mapema.
 
Back
Top Bottom