Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Wanachofanya ni kumtafutia au kumtengenezea mazingira ya kuendelea kuonekana na wazungu huko ubelgiji kwamba ana umuhimu kwao.
Wanamjengea Popularity isiyokuwepo.

Chadema ufanyaji siasa wenu ndio hupelekea muhisiwe vibaya saa ingine.
Pole sana, shetani na nyie washirika wake hamuwezi kuipenda kazi ya kuwakomboa wananchi wa Tz. Kwa legacy mloachiwa, nyie mnafurahi sana vitendo vya unyanyasaji na ukandamizaji mkidhani vitawaongezea mvuto.
 
..kwenye nchi za wenzetu Rais akihutubia taifa vyama vya upinzani huwa na hotuba mbadala.

..nilitegemea Rais Ssh ahutubie taifa wakati tunafunga mwaka, na vyama vya upinzani vitor hotuba mbadala.
 
Tundu Lisu ni nani hapa Tanzania?
Wew unawajua viroboto wenzako akina Kingai, Mahita na bi Nonsense,huwezi jua mambo ya kitaifa na kimataifa. Waulize ulaya Marekani na Watanzania wenye Akili timamu tunamjua Tundu Lissu ni nani.
Hata mwenda kuzimu anamjua Tundu Lissu sembuse wew kiroboto wa kunduuchi wewe.
 
Anahutubia Taifa au anakihutubia Chama?

Maana Taifa linahutubiwa na Rais wa JMT na siyo kiongozi wa chama cha siasa
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
We acha kudhalilisha ualimu, c ungesema Lumumba buku 7000 hampendi kusikia jina Lisu.huyo jamaa ni fire hata m/kiti wako taifa la Ccm anamhanya. Khahahahaha
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Kama umebanwa na ushooz nenda kwenye lile kabuli la burigi ukasikilize hotuba kutoka kuzimu
 
Kwa akili yako unafikiri kwa nini nchi haikuchukuliwa mwaka 2010, 2015 na 2020?

Haya “matumaini” hewa yanapaswa kutupwa kule then lifanyike linalopaswa kufanyika. NEC hii na Katiba ya sasa haiwezi kumkabidhi Nchi mtu mwingine zaidi ya mgombea wa CCM. Kwa sasa hata Kibajaji au Msukuma akisimamishwa, atatangazwa mshindi
Ndio ukweli wenyewe.
 
Taifa limsikilize TAL? Hauko serious. Ungesema wafuasi wake wawe tayari kumsikiliza sawa!
Hivi siku zoteulikuwa bado hujafahamu tu,
Pamoja na kujibalaguza kote, wa vyombo vya usalama na ulinzi, uongozi wote wa nchi, mihimili yote pamoja na na chama chenu na washikaji wenu, wanasubiri TAL aongee. Pole.
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Umekunywa uji wa ndimu nini??
 
Ye anaongea km nani bwege huyo akae ale ugali na mbawa za kuku huko kwa wakimbizi asituletee ujinga.
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Mbona bwana Lumumba/mwanachukua chako mapema(mwanaccm)hakuna anaekushandaa.
 
Back
Top Bottom