ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Sirro anazo taarifa zote za kiintelijensia lakini hapendi kusemasema, waonaje ukianzia kwake.Tundu lisu ana akili gani aliwahi kulifanyia nini taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sirro anazo taarifa zote za kiintelijensia lakini hapendi kusemasema, waonaje ukianzia kwake.Tundu lisu ana akili gani aliwahi kulifanyia nini taifa
Pole sana, shetani na nyie washirika wake hamuwezi kuipenda kazi ya kuwakomboa wananchi wa Tz. Kwa legacy mloachiwa, nyie mnafurahi sana vitendo vya unyanyasaji na ukandamizaji mkidhani vitawaongezea mvuto.Wanachofanya ni kumtafutia au kumtengenezea mazingira ya kuendelea kuonekana na wazungu huko ubelgiji kwamba ana umuhimu kwao.
Wanamjengea Popularity isiyokuwepo.
Chadema ufanyaji siasa wenu ndio hupelekea muhisiwe vibaya saa ingine.
Wew unawajua viroboto wenzako akina Kingai, Mahita na bi Nonsense,huwezi jua mambo ya kitaifa na kimataifa. Waulize ulaya Marekani na Watanzania wenye Akili timamu tunamjua Tundu Lissu ni nani.Tundu Lisu ni nani hapa Tanzania?
We acha kudhalilisha ualimu, c ungesema Lumumba buku 7000 hampendi kusikia jina Lisu.huyo jamaa ni fire hata m/kiti wako taifa la Ccm anamhanya. KhahahahahaHivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Kama umebanwa na ushooz nenda kwenye lile kabuli la burigi ukasikilize hotuba kutoka kuzimuHivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Kafie mbele kama hujisikiiAnahutubia Taifa au anakihutubia Chama?
Maana Taifa linahutubiwa na Rais wa JMT na siyo kiongozi wa chama cha siasa
Ndio ukweli wenyewe.Kwa akili yako unafikiri kwa nini nchi haikuchukuliwa mwaka 2010, 2015 na 2020?
Haya “matumaini” hewa yanapaswa kutupwa kule then lifanyike linalopaswa kufanyika. NEC hii na Katiba ya sasa haiwezi kumkabidhi Nchi mtu mwingine zaidi ya mgombea wa CCM. Kwa sasa hata Kibajaji au Msukuma akisimamishwa, atatangazwa mshindi
Hivi siku zoteulikuwa bado hujafahamu tu,Taifa limsikilize TAL? Hauko serious. Ungesema wafuasi wake wawe tayari kumsikiliza sawa!
Rais wa JMT ni Kiongozi wa chama cha siasa pia.Anahutubia Taifa au anakihutubia Chama?
Maana Taifa linahutubiwa na Rais wa JMT na siyo kiongozi wa chama cha siasa
Umekunywa uji wa ndimu nini??Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Hapana mkuu,sijakunywa uji ,na Nina miaka sasa sikunywi uji !!Umekunywa uji wa ndimu nini??
Mafi yakeTarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266
Mbona bwana Lumumba/mwanachukua chako mapema(mwanaccm)hakuna anaekushandaa.Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266
Angalau nchi hii tumsikie mtu mwenye akili akiongea.
Maana kila siku mara Job, mama bi tarabushii...!
Anaongea kama Babu Yako. Kwani kwenu Hanna wazee ndio maana nidhamu oYe anaongea km nani bwege huyo akae ale ugali na mbawa za kuku huko kwa wakimbizi asituletee ujinga.