Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu lisu katengeneza mafala kibao.Mwendazake aliacha ametengeneza wapumbavu wengi, you are one of them
Who are you by the way? We Kama sio sehemu ya Taifa usimsikilize Lisu ni Raisi wa JMT wa 7Hivi mtu yeyote anaweza kukurupuka na kusema nalihutubia taifa. Who is Lisu in our country
Hujakatazwa kubutubia ukitaka fanya ukishakuwa huvunji sheria kama kila anachoamua kutakakufanya mnachukia usisikilize anayoyatakakuongea.Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Tunaandaa ubongo zetu kupokea madini ya uhakika. Viva Tundu Lissu
Tony Blair alikuwa Ikulu mwezi uliopita na Ameteuliwa na Rais kuwa Mwakilishi promoter wa Nchi ya Tanzania Je utaihama nchi?Hakuna Cha maana atazungumza. Kilichofanya nimdharau na kuona ana ubongo mwembamba ni pale alipo halalisha ushoga huwez niambia kitu nikakuelewa kuhusu huyu zwazwa
Yeye ni Makamu Mwenyekiti Taifa. Nadhani umeelewaTaifa lipi?, analihutubia kama nani?
Manake ni mkimbizi huyo
Kama M/Mwenyekiti Taifa hawezi kuhutubia Wilaya.Hivi analihutubia taifa au anahutubia wanachadema?
Hata wale covid 19 wanataka kurudi 😀😀matumaini ya kuichukua nchi 2025 ni makubwa mno, wapenda haki wote wanaiunga mkono CDM bila kujali wanatokea chama gani.
Tupo sisi wa taifa lake la Tanganyika. Wewe lala tu ukijiona huhusiki, hulazimishwi...Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Siasa za siku hizi bana miyeyusho sana😀