Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Hujakatazwa kubutubia ukitaka fanya ukishakuwa huvunji sheria kama kila anachoamua kutakakufanya mnachukia usisikilize anayoyatakakuongea.
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?

Ww lazima utakuwa ni mzee, ndio maana unadhani hizi ni enzi za redio Tanzania, ambapo chombo cha habari kilikuwa ni Radio Tanzania tu. Sasa hivi vyanzo vya habari viko tele, kila mtu anasikiliza chombo au chanzo apendacho. Hao viongozi majizi ya kura subiri uwasikilize ww huko TBC, sisi tutamsililiza kupitia MB zetu na hakuna wa kutuzuia.
 
Watu wanajipa mamlaka ambayo hawana.

Anahutubia Taifa kama nani??
 
Hakuna Cha maana atazungumza. Kilichofanya nimdharau na kuona ana ubongo mwembamba ni pale alipo halalisha ushoga huwez niambia kitu nikakuelewa kuhusu huyu zwazwa
 
Hakuna Cha maana atazungumza. Kilichofanya nimdharau na kuona ana ubongo mwembamba ni pale alipo halalisha ushoga huwez niambia kitu nikakuelewa kuhusu huyu zwazwa
Tony Blair alikuwa Ikulu mwezi uliopita na Ameteuliwa na Rais kuwa Mwakilishi promoter wa Nchi ya Tanzania Je utaihama nchi?
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Tupo sisi wa taifa lake la Tanganyika. Wewe lala tu ukijiona huhusiki, hulazimishwi...
 
Taifa limsikilize TAL? Hauko serious. Ungesema wafuasi wake wawe tayari kumsikiliza sawa!
 
Back
Top Bottom