Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

Mambo mengi sana, tutafika mbinguni tukiwa tumechoka saana...TL analihutubia Taifa huku.
 
Hapo Hotuba yake nzima itakuhusu:

  • Mbowe
  • Katiba mpya
  • Tume huru ya uchaguzi
  • Kuhusu yeye mwenyewe

Wakati mahitaji ya Wananchi ni:

  • Gharama za maisha
  • Ajira
  • Umeme
  • Maji
  • Usalama.

Hawa watu ndio maana hakuna mwenye akili timamu huwa anawatilia maanani kabisa.
 
Mgombea Urais huyu baada ya uchaguzi mkuu 2020 akaitisha maandamano yasiyokuwa na kikomo nchi nzima, hakuna mfuasi wake hata mmoja aliyeingia barabarani kumfia..

Mgombea Urais wa CDM 2020, ambaye baada ya uchaguzi tu alikimbilia ubalozi wa ujerumani na kurudi ukimbizini bila kutuambia sababu..

Huyu Mgombea Urais alituambia Tanzania kuna Corona, lakini alivyokuja kugombea Urais akafanya mikutano ya kampeni na kukusanya watu kama hakuna Corona vile..
 
Mgombea Urais huyu alitutangazia kifo cha Rais wetu mpendwa tena mpaka ugonjwa uliomuua ilihali dola ilikuwa bado haijaamua kutuambia....

Wasiojua protocal, anapokufa Rais wa nchi huwezi tu kutangaza hovyohovyo harakaharaka maana kifo ni kitu cha ghafla na kwa wakati huo lazima dola ijipange kwanza kwa kuweka mambo sawa...Rais ni kiongozi wa dola, anapokufa lazima watu waitane kwanza waweke mambo sawa na kuset utaratibu na kuinform inner circle yote juu ya mipango na utaratibu...

Mgombea Urais huyu akatutangazia Kifo cha Mlinzi wa Rais Marehemu JPM na ugonjwa wake uliomuua tena kwenye media kubwa kabisa duniani BBC, ilihali huyu mlinzi alikuwa hai na mzima wa Afya kabisa..

Tunaweza kumuamini mtu kama huyu, eti tumpigie kura na kumpa dola...?
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyeto? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Taaluma yake inamtaka kufanya hivyo Achana na hiyo nafasi ya umakamu mwenyekiti, Mlitaka kumuua kwa Kutumia Mali zetu hamkujitafakari Enyi Madhalimu
 
Kuna siku nchi utapigwa mnada na wewe utauzwa
Sijui kama nisahihi kusema "TUNDU ATAHUTUBIA TAIFA", ila ni sawa kusema atazungumza na chombo/ vyombo vya habari. Kuhutubia taifa si lazima si lazima upate ruhusa au uwe na hiyo vote?
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyeto? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Yan mtu yuko ubelgiji antuhutubia Sisi
 
Ila yule aliyeongopa mchana kweupe tena msikitini mnampigia makofi kila kukicha
Mgombea Urais huyu alitutangazia kifo cha Rais wetu mpendwa tena mpaka ugonjwa uliomuua ilihali dola ilikuwa bado haijaamua kutuambia....

Wasiojua protocal, anapokufa Rais wa nchi huwezi tu kutangaza hovyohovyo harakaharaka maana kifo ni kitu cha ghafla na kwa wakati huo lazima dola ijipange kwanza kwa kuweka mambo sawa...Rais ni kiongozi wa dola, anapokufa lazima watu waitane kwanza waweke mambo sawa na kuset utaratibu na kuinform inner circle yote juu ya mipango na utaratibu...

Mgombea Urais huyu akatutangazia Kifo cha Mlinzi wa Rais Marehemu JPM na ugonjwa wake uliomuua tena kwenye media kubwa kabisa duniani BBC, ilihali huyu mlinzi alikuwa hai na mzima wa Afya kabisa..

Tunaweza kumuamini mtu kama huyu, eti tumpigie kura na kumpa dola...?
 
Vp umeshapewa ile Noah aliyowaahidi yule kubwa la maadui????
Mgombea Urais huyu, wakati nchi ikiwa kwenye mgogoro mkubwa na makampuni giants ya madini duniani yeye alikuwa kutwa kucha kwenya media akipingana na msimamo wa serikali pamoja na kuitisha dola....

Mgombea Urais huyu akaenda mbali zaidi na kuwa anaomba documents muhimu kwa haya makampuni kupitia watendaji wake ili tu apate namna ya kuipinga Serikali yake iliyokuwa ikijaribu kupigania maslahi ya watu wake...hili lilisemwa live na mkuu wa nchi kwenye hotuba juu ya watu hawa waliokuwa wakizunguka huku na kule kuikwamisha nchi... (nimemnukuu)..

Tunawezaje kumuamini mtu kama huyu na kumkabidhi dola..?
 
Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?

Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyeto? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?

Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.

By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Wewe ni mwalimu? So wanetu unawafundisha nini? Ujinga. Kama wewe hujui Mheshimiwa Lissu ana influence gani kwenye hii nchi basi wewe ni boya kabisa.
Ukiacha mamlaka waliyonayo kina samia na Ndugai, Lissu ni mtu wa watu kuliongo nzi yoyote aliyepo kule lumumba.

Chizi wewe.
 
Kama yule kubwa la maadui pamoja na uboovu wa matendo na kauli zake amekuwa Rais japo kwa wizi nan atashindwa????
Et anamwambia mtu bak na mav yako nyumban na niny mazumbukuku mnashangulia tu
TL inawezekana kabisa akawa ni msomi mzuri kwenye taaluma yake ya sheria na kuijua na kuidadavua sheria vyema kama taaluma yake lakini SI MTU SAHIHI KWENYE UONGOZI WOWOTE ULE ACHILIA MBALI URAIS, aendelee kuwa mwanasheria hana ethics za uongozi na haujui uongozi...URAIS sio kubwabwajabwabwaja na oyaoya..

Urais ni taasisi sio kijiwe cha kupigia soga na kufurahishana...hata kama shida ni kuitoa CCM basi tutafute mtu sahihi anayeweza kutupeleka tunakotaka na sio kuwa kama CCM au worse than CCM...
 
Kwan umekatazwa kuongea we nguchiro????
Ukiona mtu anatusi mwingine ujue kaishiwa hoja

And that is why you will never achieve anything by trash talking others

Wise up, help your leaders to wise up and make progress

Mtaishia kutukana tu kila anayewapa ukweli hadi siku ya mwisho
 
Back
Top Bottom