imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
JMTEbu fafanueni tuelewe. Anahutubia Taifa lipi, la Tanzania au Ubelgiji!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JMTEbu fafanueni tuelewe. Anahutubia Taifa lipi, la Tanzania au Ubelgiji!?
Yule mzee alikuwa mwehu, hilo halihitaji uthibitisho wa cheti Cha daktari.sasa utazururaje na mavi!!!!jifunze kuwa unakunya kabla hujaanza kuzurula sandali.
nyinyi ndio mnaosafiri na mahindi mnakula njia nzima.
Yule mzee alikuwa mwehu, hilo halihitaji uthibitisho wa cheti Cha daktari.
Bahati nzuri nilianza kazi wizara ya ujenzi 2015 wakati anakaribia kuwa Rais, I know him
Check nilikua majibu niniSi Bora zaidi anayetukana kuliko anayeua kabisa au kusingizia wenzake kesi kubwa kubwa ili wafungwe kabisa?
Hata mimi nakubali alikuwa mwehu kwa watumishi wazembe, majizi, mafisadi na majinga kama wewe!Yule mzee alikuwa mwehu, hilo halihitaji uthibitisho wa cheti Cha daktari.
Bahati nzuri nilianza kazi wizara ya ujenzi 2015 wakati anakaribia kuwa Rais, I know him
Hivi huwa umeenda shule kweli? Kuondoa ukoloni na mtu kuwa na maisha bora kunaingiliana?
Vijana UV CCM mnahangaika sanaHata mimi nakubali alikuwa mwehu kwa watumishi wazembe, majizi, mafisadi na majinga kama wewe!
Mliotumbuliwa mtahangaika sana na legacy!Vijana UV CCM mnahangaika sana
Mbona mnaanza kujihami? Acha inyeshe ya mawe matundu yote tuyaone.Ndugu lissu tunahamu Sana kuisikia hotuba yako usiku wa leo.lakini zingatia haya machache tu kabla hujaanza hotuba yako. (1)toa hotuba Kama rais wa nchi isiwe na matabaka Wala hasira ya Mambo yaliyopita. (2)Kama utalizungumzia swala liongelee kidipromasia na kiutu uzima najua umenielewa(.3)anza wewe Leo kutoa hotuba ya kistaarabu tofauti na tulivyokuzoea.chunga kutamka maneno yanayokashifu na kudharau utawala na mamlaka iliyopo .onesha ukomavu na utu uzima Leo tunataka kuisikia hotuba ya makamu mwenyekiti wa chama sio mgombea happy new year,