Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Nje ya mada; hivi masikio ya mh. Ndiyo yalivyo kwa sasa?
Jinger [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya mada; hivi masikio ya mh. Ndiyo yalivyo kwa sasa?
Mpumbavu hawezi kuwa babu yangu mama we.Anaongea kama Babu Yako. Kwani kwenu Hanna wazee ndio maana nidhamu o
Kwenu hakuna wazee ndoo maana adabu ziro.Mpumbavu hawezi kuwa babu yangu mama we.
anahutubia kutoka mirembe??Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266
Taifa la wadanganyika Tena waliojaribu kionyofoa roho yake , ila Mungu akasema Bado anampango na maisha yake🤔.Taifa lipi atakalohutubia?
Hayo mahitaji unayoyaita ya wananchi mbona ccm wamegaragara nayo miaka 60 hayatimii. Inzi wa kijani wewe, chawa mkubwa. Majitu yenu yaliyofyatuka vichwa kama ndugai wanakurupuka hapa na kauli tata ndio unaona wanaongea ya maana?Hapo Hotuba yake nzima itakuhusu:
- Mbowe
- Katiba mpya
- Tume huru ya uchaguzi
- Kuhusu yeye mwenyewe
Wakati mahitaji ya Wananchi ni:
- Gharama za maisha
- Ajira
- Umeme
- Maji
- Usalama.
Hawa watu ndio maana hakuna mwenye akili timamu huwa anawatilia maanani kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nje ya mada; hivi masikio ya mh. Ndiyo yalivyo kwa sasa?
KivipiMbona bwana Lumumba/mwanachukua chako mapema(mwanaccm)hakuna anaekushandaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jinger [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndo huwezi kulihutubia taifa. Lissu ana uwezo huo na watu tupo tayar kumsikiliza. We are waiting. Wewe cku hiyo kufa ili usisikie. Maana ukiwa hai lazima ujue alichosema hata kama hutaki.Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Mwambie arudi ajenge nchi yake sio ananapiga kelele huko na kubugia michango ya TwawezaTaifa la wadanganyika Tena waliojaribu kionyofoa roho yake , ila Mungu akasema Bado anampango na maisha yake🤔.
Tz, East and Central AfricaTaifa lipi?, analihutubia kama nani?
Manake ni mkimbizi huyo
Ivi Waalimu mmesha acha kubweka bweka Kama mbweha?? Vimishahara vyenu kiduchu, sijui vidude gani.Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Huyu jamaa si mzima.....Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266
Hahahaa...Taifa la wapumliwa visogoni.Hivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?