Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Huyu mzee wa pembe za Ndovu? Kinana ni kinana na ki- nana. Halafu kuna Li -su kama kimbwa na limbwa. Kinana hana akili ya kumjibu Lissu . Na hapo amepewa hoja bado hajaweza kujibu kitu. LISSU ANA AKILI SANA HAWEZEKANIKI.Au akili yako ni ndogo sana kumuelewa kinana! Hivi inajua unaweza kiwa na akili ndogo ya kuelewa mambo au kumuelewa mru flani halafu ukamuona yeye ndo kashindwa kumbe we ndo kilaza
Lisu ana akili gani? Au nyie wenye akili ndogo ndo mnamuona ana akiliHuyu mzee wa pembe za Ndovu? Kinana ni kinana na ki- nana. Halafu kuna Li -su kama kimbwa na limbwa. Kinana hana akili ya kumjibu Lissu . Na hapo amepewa hoja bado hajaweza kujibu kitu. LISSU ANA AKILI SANA HAWEZEKANIKI.
Kumjua mtu ana akili ni mpaka nawe uwe nazo. Usidhani ni rahisi tu kuwa hata wewe utamjua.Lisu ana akili gani? Au nyie wenye akili ndogo ndo mnamuona ana akili
Mi namzidi mbali lisu hanifikii hata kwa chembe. He seems to be intelligent when talking to fools like many tanzanians do, mostly you and only you.Kumjua mtu ana akili ni mpaka nawe uwe nazo. Usidhani ni rahisi tu kuwa hata wewe utamjua.
Dah! Hapa kimeumana. Kwa hiyo possibly deblabant naye chengaKumjua mtu ana akili ni mpaka nawe uwe nazo. Usidhani ni rahisi tu kuwa hata wewe utamjua.
SawaMi namzidi mbali lisu hanifikii hata kwa chembe. He seems to be intelligent when talking to fools like many tanzanians do, mostly you and only you.
Kaka Mbatizaji, unahisi una akili kuliko waliokacha kujibu hoja zake wakaanua kutumia mjegeja?Lisu hana hoja
Kwahiyo wanao mjibu ni machizi?Ukimjibu chizi na ww unakua chizi. Same applies here. Lissu tunamtegemea ajiandae na uchaguzi. Sio kuongea vitu kila siku vinaongelewa hadi mtaani. Ajiandae na ucchaguzi. Kuachiwa kufanya midahalo. Kuna wamaliza wakina lissu na mbowe.
🚮Kwahiyo wanao mjibu ni machizi?
Maelezo yako nilihisi unatumia HALOPERIDOL.🚮
Upo sahihi,hata mimi nilihisi una schizophrenia, nikaona nisikujibu maana utaishia kunidhihaki while nimetoa maoni yangu. Kumbe kweli. Umgonjwa wewe binti.Maelezo yako nilihisi unatumia HALOPERIDOL.
Kumbe niko sahihi kabisa.
Mbona ndo ameonekana na kusikika sasa. Kujiandaa ni kunyosha nguo au ajiandae vipi? Lissu ametufungua macho watanganyika.Ukimjibu chizi na ww unakua chizi. Same applies here. Lissu tunamtegemea ajiandae na uchaguzi. Sio kuongea vitu kila siku vinaongelewa hadi mtaani. Ajiandae na ucchaguzi. Kuachiwa kufanya midahalo. Kuna wamaliza wakina lissu na mbowe.
Kwa sasa ni sawa na maCCM VIONGOZI 100, 000.Ndiyo maana huwa tunasema Lisu mmoja ni sawa na maCCM 1,000
Yohana... Wewe usipokunywa chang'aa huwa unakuwa vizuri. Lissu ameweka wazi. Mzanzibar anauza ardhi ya bara anagawa. Anagawa bandari n.k vya Tanganyika. Unadhani Magufuli angefanya haya?Lisu hana hoja
Mi namzidi mbali lisu hanifikii hata kwa chembe. He seems to be intelligent when talking to fools like many tanzanians do, mostly you and only you.