Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sababu inajulikana!Sababu mbona huweki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu inajulikana!Sababu mbona huweki?
Zile siku 4 walikuwa wakipanga haya. Magufuli ondoka kwa usalama usituharibie nchi yetu.Polepole, Mahera, Nyahoza na sasa Polisi-wote kwa wakati mmoja-ni dhahiri serikali na chama chake wameanza kupanic. Hii si dalili nzuri kabisa.
Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeopleeees !!!!!!! Mbuya mbuyaa tataaUPDATES
Polisi wamesalimu amri na kuondoka baada ya somo la Lissu kuwaingia. Mkutano unaendelea Nyamongo muda huu. Aidha baada ya raia kupigwa mabomu wamegoma kutawanyika.
DuhSafi sana, big up, kama ni kweli, ...
Wamezidiwa tu hamna kingine ukimsikiliza yule mahela wa NEC- CCM Ndo utajua ukubwa wa tatizoSababu mbona huweki?
Usisahau kutuwekea picha picha na video za kutosha.UPDATES
Polisi wamesalimu amri na kuondoka baada ya somo la Lissu kuwaingia. Mkutano unaendelea Nyamongo muda huu. Aidha baada ya raia kupigwa mabomu wamegoma kutawanyika.
Sasa wachague moja kuburuzwa the Hague kwa kutii maagizo ya mtu ambae arudi tena kuwatesa watz au waunge mkono mabadilikoBinafsi siwalaumu Polisi najua wapo kwenye shinikizo kali Sana kuhusu utendaji wao.
Wewe utakuwa ccm wewe hapo kosa la Lisu ni lipiWatanzania wenzangu na wanachadema wenzangu tusipo angalia vizuri huyu Tundu Lissu atatupeleka pabaya, tumeishi kwa amani na upendo kwa miaka mingi lkn sasa anataka kutuchonganisha sisi kwa sisi, hatutaki kabisaaa
Msimzue tendeni haki kila kitu kiwe wazi hesabuni kura wazi kabisa ili isiwepo sababu ya kuzuiaWatanzania wenzangu na wanachadema wenzangu tusipo angalia vizuri huyu Tundu Lissu atatupeleka pabaya, tumeishi kwa amani na upendo kwa miaka mingi lkn sasa anataka kutuchonganisha sisi kwa sisi, hatutaki kabisaaa