Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni

Nyie mapolisi mnamtetea vipi mtu ambae arudi tena October kuumiza watz.
 
Habari zinazoanza kushika kasi mtandaoni ni kwamba Msafara wa mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu A. Lissu umevamiwa na polisi waliowatawanya waliokuwa katika msafara huo kwa mambomu ya machozi.

Source:
Hii source ya suphian inamatatizo tuna mtaka atuambie risasi zimetumika wapi afadha tundu amesema mabomu ya machozi kidogo kidogo in bwege voice amepunguza mihemko isipokuwa hiyo kerubu.
 
Watanzania wenzangu na wanachadema wenzangu tusipo angalia vizuri huyu Tundu Lissu atatupeleka pabaya, tumeishi kwa amani na upendo kwa miaka mingi lkn sasa anataka kutuchonganisha sisi kwa sisi, hatutaki kabisaaa
Hujawahi kuandamwa na huu utawala ndio maana unasema umeishi kwa amani. Siku wakipisha hodi mlango wako, ndio utaelewa kwa nini haya yanatokea
 
Tunawapongeza Sana polisi kuchangia kuipa nguvu upinzani baada ya kutumika na ccm kwa miaka 5
 
Mimi siyo mwanasheria lakini najua mgombea yoyote iwe wa urais, ubunge au udiwani akivuruga ratiba au utaratibu malalamiko yanapelekwa tume ya uchaguzi mara moja.

Hili halihitaji mgombea kuwaelimisha polisi halafu wanamruhusu aendelee na tukio.

Maendeleo hayana vyama!
 
Anataka nayeye asimamishe magari barabarani kama Magufuli, kwenye kichwa chake yeye kama raia na raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania nyadhifa zao ni sawa.

Mwisho wa siku tutakuja kubaliana jamaa ‘mtambo’.
 
Anataka nayeye asimamishe magari barabarani kama Magufuli, kwenye kichwa chake yeye kama raia na raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania nyadhifa zao ni sawa.

Mwisho wa siku tutakuja kubaliana jamaa ‘mtambo’.
Wewe ndiyo mtambo nani akubaliane na wewe mjinga?
 
What a nice connection between Mahera statements and this. Robert Amsterdam come in!. It is time to reprimand individuals hiding behind the shadows of corrupt sytems. Kindly separate this lunatics from our beloved nation.

Robert Amsterdam ndie kiboko ya madikteta ya afrika ana file case directly the Hague, mbali na jiwe pia anamshughulikia dikteta Paul biya wa Cameroon.Jiwe ndo akome kumsikiliza kagame badala ya kuwasikiliza watz check alivyomuuza anachukiwa Kama mavi nchi nzima sasa
 
Nayeye ameamua kufanya kila kitu ni mkondo wa kwenda nao.

Nimemsikia anapiga marufuku Majaliwa kumpigia debe magu[emoji2][emoji2].labda ni kweli sheria inasema hivyo but sidhani kama ni muhimu sana kwa yeye kusemea hilo.

Aendelee na spana za msingi,maana hata asiposhinda atakumbukwa kwa kuikumbusha ccm mambo ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…