Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Yeye anasikiliza porojo za Magu anapodai kasimamishwa njiani ni anadhani kweli. Wakati kiuhalisia kila kitu kinakuwa kimepengwa na ulinzi wa kutosha umesha tayarishwa.polisi wamefanya hvo kuzuia ajali na vifo mara ya mwisho tundu alivokuja kutafuta wadhamini wilayani tarime kulitokea ajali zaidi ya tatu na vifo pia ni bora kuwatawanya ili wakamsubiri eneo maalum na mnavojua haya majimbo ya huku yalivyo na watu wakorofi
Kwahiyo mmekinukisha?Tundu Lissu ni mti wenye matunda
Pole sana mwananchama wa Chadema Askofu Emmaus Mwamakula[SUB]View attachment 1583372[/SUB]
Sasa kama Magu ni rais anapita kuomba kura za nini?Anataka nayeye asimamishe magari barabarani kama Magufuli, kwenye kichwa chake yeye kama raia na raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania nyadhifa zao ni sawa.
Mwisho wa siku tutakuja kubaliana jamaa ‘mtambo’.
Akili zako na huyo Lissu sawa sawa. Unataka aachiwe asimame katikati ya barabara kama raisi wa nchi? Tena ka audience chenyewe cha watu 200-300 kisa tu ku entertain his mental health issues yeye na raisi wa nchi ni watu sawa.
I think his honeymoon period should be brought to an end as days go Lissu is becoming a real pest.
Acha kusaka uteuzi kishamba hivyoHizo preveledge ni za raisi wa nchi hanazo.
Habari zinazoanza kushika kasi mtandaoni ni kwamba Msafara wa mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu A. Lissu umevamiwa na polisi waliowatawanya waliokuwa katika msafara huo kwa mambomu ya machozi.
Source:
Mmeishiwa na kukata tamaa ndio maana mmeanza kutumia mabomu kuzuia mafuriko mikutano ya Lissu!Safi sana, big up, kama ni kweli, ...
IGP RPC OCD wote wanaoshiriki vitendo vya kuwaonea wapinzani kuhatarisha Amani watambue kuwa mara baada ya uchaguzi watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zaoSasa namna hii magufuli atapataje usingizi?
Nahidi igp kila muda anapigiwa simu na kufokewa sn anauliwa.... Hayo mabomu tumewapa ya nini?