Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni

..wananchi waliokusanyika hawajui kama hawatakiwi kumsalimia mtu asiyekuwa Raisi hapo barabarani.

..wananchi haohao ndio waliomchagua Raisi. Na wananchi haohao ndio kodi zao zimetumika kununua mabomu ya machozi.

..binafsi naamini Polisi hawakutumia busara.
Shida Ni kuchanganya upolisi na ukada.Polisi wanamuogopa vipi mtu ambae arudi tena October kuumiza watz.
 
Ari ya nani hivi unaamini kabisa kanda ya Ziwa na kaskazini kwa ujumla Lissu atamshinda kura Magufuli, sehemu ngumu kwa CCM huko ni Kilimanjaro tu na miaka yote CCM wakifanya mikutano yao wana ujaza umati kushinda ya Lissu anayopata kanda ya Ziwa.

Unasoma sana sensationalised headline za bavicha humu kwenye post “Lissu sijui ashangaza dunia kwa mkutano wake” etc with nonsense unadhani CCM ni political amateurs.

Hizo headlines za kufurahishana tu wafuasi wa CDM uhalisia Lissu awezi mshinda Magufuli uchaguzi fairly and squarely.

..then ccm, tume, na vyombo vya ulinzi na usalama, should treat TL kama mgombea asiye na madhara yoyote.
 
Kiukweli sio jambo jema kuna kesho na kesho kutwa kwenye utawala mwingine.
 
Mwenye wivu ni Lissu, he needs to accept the fact Magufuli ni raisi wa nchi hii.
who doesn't accept that Magufuli's mandate was given has expired ??? no wonder the parliament is dissolved. Its time now to elect the new president let the majority to choose a leader to govern this country otherwise expect bloodshed the entire country than Mkapa-Zanzibar.
 
Kupitia akaunti ya Twitter ya Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu ameandika

Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni. Wamepiga na kuumiza wananchi waliotupokea. Nawaambia Jeshi la Polisi mfanye kazi yenu kwa weledi, hakuna mabomu wala risasi za kutuzuia!! Hatutishwi!

For English Audience
Our convoy has been subjected to a massive teargas attack by the Police in Nyamongo, in attempt to block our route heading to our campaign meeting. Our supporters have equally been brutally caned and hurt. Let them bomb us and shoot us, but we shall never back down!!


Kuna watanzania hawajui kiswahili mpaka muwatafsirie au ndiyo mwendelezo wa kulipia dola milion 20 za kufanikisha matukio ya uchaguzi?
 
Polisi kashindwa hata kujitetea,aibu tupu!
Hata ungekua wewe hapo ungejitetea nini sasa, kama polisi hata sheria hawaijui ni aibu kwa kweli na kiboko yao ni Lissu, upinzani wa namna hii usiotishika ndio tunautaka
 
UPDATES

Polisi wamesalimu amri na kuondoka baada ya somo la Lissu kuwaingia. Mkutano unaendelea Nyamongo muda huu. Aidha baada ya raia kupigwa mabomu wamegoma kutawanyika.
Mwaka huu raia hawataki ujinga mkuu
 
Pamoja na @tanpol kupiga mabomu na risasi, UMMA wamegoma kutawanyika, mkutano unaendelea muda huu Nyamongo, Tarime Vijijini.


Naomba Mungu amjalie TAL aendelee kutupa ujasiri, maana tulio wengi maskini hatuna cha kupoteza.tunanyanyaswa sana na serikali ya Jiweee..
 
Watoa taarifa muwe mnajitahidi kuweka na sababu ya matukio kama haya ili kuepuka speculations na kusaidia wananchi kufanya judgement.

Kupiga mabovu tu bila sababu ya msingi inayohatarisha usalama wa raia na mali zao ndio chanzo chenyewe cha uvunjivu wa amani

Hii Chadema iko kazini, haya yote yataisha kabisa after this election. CCM shall have more younger leadership , so the ethos shall reverse, its just a matter of time.

From year 2020, CCM shall have 80% of elected leaders whose age is below 40 years.

Magufuli is managing generation transitional politics. It happened elsewhere and it will happen here in Tanzania. Hakuna kipya.
 
Akirudi Tena kipindi cha pili atatubomolewa nyumba zetu.
Anga limemkataa, ndumba zikiexpire,Mungu kamnyima kibali anauwa kondoo badala ya kuwachunga, atukumchagua anapambane na Mbowe Bali shida zetu akajipa majukumu kufanya tusiyomtuma. Akubali kurudi Chato au aende the Hague

Huo ndio ukweli. Hili lijamaa JIWE halitufai kabisa. Hivi hili jeshi linafanya nini. Si wampindue tu. La sivyo, nguvu ya umma haikwepeki.
 
Polisi tumieni hekima na busara, nyie hampo hapo kulinda masirahi ya chama fulani ila usalama wa raia wote,
 
Huo ndio ukweli. Hili lijamaa JIWE halitufai kabisa. Hivi hili jeshi linafanya nini. Si wampindue tu. La sivyo, nguvu ya umma haikwepeki.
Hawawezi bila sapoti ya wananchi, wakifanya hivyo na ikafeli wanaogopa kesi ya uhaini,ukiongea nao udai wananchi ndio tumewachelewesha kwa uoga wetu, walitegemea maandamano ya mange ndipo wamalize mchezo kurudi nyuma kwa wananchi kuliwavunja moyo, wanufaika ni wakubwa zao wachache lkn wote wa chini wanataka mabadiliko na Wana hasira mbaya ya kunyimwa nyongeza ya mishahara 5 yrs hivyo wanasubiria jiwe akanyage fyuzi tu alipukiwe utii walio nao ni wa kwenye uniforms tu.
 
Back
Top Bottom