Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni

Akili zako na huyo Lissu sawa sawa. Unataka aachiwe asimame katikati ya barabara kama raisi wa nchi? Tena ka audience chenyewe cha watu 200-300 kisa tu ku entertain his mental health issues yeye na raisi wa nchi ni watu sawa.

I think his honeymoon period should be brought to an end as days go Lissu is becoming a real pest.
Lakini watu wengi wanamfuata sana T Lissu, pengine NI YEYE Kweli! Tuwe na subira tu.
 
What a load of nonsense, kuendelea kumchekea Lissu ni ku entertain his fantasy; yaani azuie shughuli za watu wengine barabarani kisa tu kichwani kwake anajiona ni sawa na raisi.

This joke has gone too far.
Sawa
 
Nou
Mmheshimiwa, kama hufuati ratiba, jee polisi wafanye nini? na ratiba ni ya nini? kwa nini tunakuwa na ratiba? ajitahidi kufuata ratiba mikoa mingine.

Kuna sehemu akikutana na askari ambae anafahamu sheria atakwama.
Wewe ni Mpuuzi Kama walivyowapuuzi wengine, Mgombea wenu anasimama kila mahali hajawahi kupingwa mabomu. Mwaka huu jino kwa jina jeshi la mtu mmoja TL ananyoosha= polisi+Nec+ccm
 
Patient has its limit jamaa wa ulinzi na NEC washamvumilia sana out of pity lakini bichwa lake linazidi kuwa kubwa; watch this space.

Even if you lose your patience to the death limit, nothing is going to stop Tundu Lissu to get what he wants...!!
 
Polisi kafyata Maskini, Kapewa hoja za nguvu kama kasimama kizimba Cha MAHAKAMA,

Kakosa hata Jibu la uongo, Kama Ingekuwa MAHAKAMANI Keshaenda Jela, Maana ni Kama alikuwa anasutwa, Amekuja Moto karudi Baridi.
Mkuu huyo mwamba ametumwa na Mungu aiokoe Tanzania kutoka utumwa Wa ccm,amepewa mamlaka akiongea ni sauti ya Mungu mwenyewe,lazima uufyate.
 
Watanzania wenzangu na wanachadema wenzangu tusipo angalia vizuri huyu Tundu Lissu atatupeleka pabaya, tumeishi kwa amani na upendo kwa miaka mingi lkn sasa anataka kutuchonganisha sisi kwa sisi, hatutaki kabisaaa
Unatia kinyaa
Lissu Ndio kapiga watu mabomu?
Jiwe Ndio kagawa nchi kiukabila na kiukanda Sasa tutegemee chochote
 
who doesn't accept that Magufuli his mandate was given has expired ??? no wonder the parliament is dissolved. Its time now to elect the new president let the majority to choose a leader to govern this country otherwise expect bloodshed the entire country than Mkapa-Zanzibar.
Election keshokutwa US ebu tuwaelize Diaspora Trump security privilege zimepunguzwa kipindi hiki?

Acheni kumuongopea huyo Lissu yeye sio Magufuli. Mgombea wa 2025 wa CCM na wa upinzani ndio mtaweza linganisha. Lakini this time anashindana na incumbent president they are not equal on the campaign trail.

Tatizo mamlaka zimetumia busara kwa muda mrefu kumuacha Lissu ajisikie yupo nyumbani na maisha yake ni salama, ila he is abusing that goodwill gesture kila siku mara uongo, kejeli, kuvunja sheria, kuhamasisha fujo huyu mtu sasa anaanza kuamini kweli he is untouchable.
 
As I have always been saying, Lissu has a mandated responsibility to report EACH AND EVERYTHING related to our 2020 General Elections to AMSTERDAM AND Company, ndiyo maana akiandika on any activities lazima aandike kwa Kiingereza ili hao waliomtuma wajue nini kinaendelea KWANI HE IS BEING PAID FOR THAT! And this report, like all others, is a continuation of Lissu's FABRICATED MISGUIDED AND MALICIOUS LIES as taught by the Amsterdams.
 
Even if you lose your patience to the death limit, nothing is going to stop Tundu Lissu to get what he wants...!!
Atasimamishwa na wapiga kura kwa wingi wetu, sio mimi peke yangu. Muhimu ni kuheshimu taratibu za uchaguzi ambazo amekuwa akizisigana the moment he touched down.

Amedekezwa vya kutosha mtoto umleavyo ndio akuavyo and Lissu is becoming a spoilt brat. Wasitegemee huyo mtu atafanya siasa za kistaarabu keshapewa muda wa kutosha but he is abusing the welcoming gesture, wakisema waendelee kumchekea waswahili usema ‘majuto ni mjukuu’ time will tell, the guy has serious psychological issues to ignore his behaviours.
 
Kwaninin wamshabulie Lissu,mbona Magufuli huwa anasimama njiani kuwasalimia wananchi hata kama ratiba si yake? Huu ni wakati wa siasa acheni wafanye siasa,CCM na polisi mbona wananchi wanawalilia kila kona?
 
Watanzania wenzangu na wanachadema wenzangu tusipo angalia vizuri huyu Tundu Lissu atatupeleka pabaya, tumeishi kwa amani na upendo kwa miaka mingi lkn sasa anataka kutuchonganisha sisi kwa sisi, hatutaki kabisaaa
Kivipi mkuu, ebu fafanua
 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya, William Mkonda amekanusha uvumi kuwa msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema, Tundu A Lissu umepigwa mabomu eneo la Nyamongo, amesema mabomu yalipigwa kutawanya wafuasi waliokuwa wakiwashambulia askari wa jeshi hilo.

Source:
 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya, William Mkonda amekanusha uvumi kuwa msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema, Tundu A Lissu umepigwa mabomu eneo la Nyamongo, amesema mabomu yalipigwa kutawanya wafuasi waliokuwa wakiwashambulia askari wa jeshi hilo.

Source:

Muonyeshe hii video
 
Akili zako na huyo Lissu sawa sawa. Unataka aachiwe asimame katikati ya barabara kama raisi wa nchi? Tena ka audience chenyewe cha watu 200-300 kisa tu ku entertain his mental health issues yeye na raisi wa nchi ni watu sawa.

I think his honeymoon period should be brought to an end as days go Lissu is becoming a real pest.
Mkuu umeongea nini hapa, Kama rais anataka kubaki ofisin Basi asigombee,ila elewa mpaka Sasa Kama mgombea yuko sawa na wagombea wengine ,msitishe watu, yupo alie na yupo kweli mtakipata mtakacho
 
Kupitia akaunti ya Twitter ya Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu ameandika

Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni. Wamepiga na kuumiza wananchi waliotupokea. Nawaambia Jeshi la Polisi mfanye kazi yenu kwa weledi, hakuna mabomu wala risasi za kutuzuia!! Hatutishwi!

For English Audience
Our convoy has been subjected to a massive teargas attack by the Police in Nyamongo, in attempt to block our route heading to our campaign meeting. Our supporters have equally been brutally caned and hurt. Let them bomb us and shoot us, but we shall never back down!!



TARIME: POLISI WAKANUSHA KUSHAMBULIA MSAFARA WA LISSU BALI WALIKUWA WAKIWADHIBITI WALIOKUWA WAKIWARUSHIA MAWE ASKARI

Kamanda wa Polisi, ACP William Mkonda amesema msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA haujashambuliwa

Amesema wao wamewapiga mabomu ya machozi watu waliokuwa wanawarushia mawe Askari wa Jeshi la Polisi na hadi sasa Msafara wa Tundu Lissu upo njiani kuelekea Serengeti na unaongozwa na Polisi

Kuhusu usalama wa Mgombea amesema kuwa tangu jana Mgombea huyo alipofika Tarime amekuwa salama na anaondoka salama
Hayo ndio maagizo ya Dodoma yanafanyiwa kazi na sisi wananchi tujiandae.
 
Back
Top Bottom