Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #181
Hahaa najua unatukana sababu huna unachoweza kufanyaWapo pia wanaosherehekea kumpelekea mkeo moto huku akikutukana wewe, familia yako na ukoo wenu wote, hii ndiyo dunia [emoji38]
Hero kwako labda huyo mal uuun
Majangiri makubwa yote mawili hayafai kwa mustakabali mwema wa taifa la Tanzania
Acha roho ya kutu wewe sukuma gang
Huyo mpinzani atakae sifia si mpinzani halisi, ni Mpinzani uchwara. Mpinzani nia ni kukutoa wewe. Pale ulipo fanya vizuri yeye atataka afanye vizuri zaidi. Ukiona adui yako anakushangilia simama, geuka uangalie ni wapi umekosea.Kwamza wanajukwaa Nina wasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pili ninampongeza Mama Samia kwa hili la kumlipa stahiki zake ndugu yetu, mtanzania mwenzetu na makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo stahiki zake, ni Jambo jema na linapendeza pia ndio utanzania huu.
Tatu upinzani si kupinga,kukosoa, na kuchukia Kila kitu kinachofanywa na serikali ya ccm kwenye mazuri tuseme bila kupepesa macho, Tundu lissu aliumizwa, alidhulumiwa Sana na serikali ya awamu ya tano.
Nne Mama Samia ni kweli kabisa watanzania tunahitaji katiba mpya, week historia ya kudumu ulimwenguni Kama mwanamke aliyesaidia nchi yake kupata katiba mpya hicho utajivunia milele.
Tano, ninakuombea kwa Mungu akutangulie kutimiza majukumu yako ya uraisi maana ni magumu Sana na angalau unaonyesha nia njema na wewe ni tumaini jipya la watanzania kutokea CCM
Nakumbuka 2010 humu kuna memba ansitwa brucelee,(mungu amuweke mahali pema), alijiapiza,,, hii nchi haitatawaliwa tena na mswahili[emoji23][emoji23],eti sababu jk alikuaga anacheka cheka tu[emoji2298]mama Samia anamaliza kelele kwa akili sio nguvu.
Huu ni uthibitisho kuwa Rais Mama Samia ni mpenda haki, mtenda haki, atabarikiwa, nchi itabarikiwa na itaneemeka kisiasa, kiuchumi na kijamii.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Alipwe wapi wakati anasifia ili apate uteuzi
Ukweli mchunguuu HuuWaislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Unauhakika atafika 2025?2025 wapinzani wote wa mama watakuwa wanamuunga mkono..2025 anapita bila kupingwa
Nakumbuka hata Magufuli ulisema hivihivi kuhusu yeyeHuu ni uthibitisho kuwa Rais Mama Samia ni mpenda haki, mtenda haki, atabarikiwa, nchi itabarikiwa na itaneemeka kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kila nikimtafakari Rais Samia, I was never wrong about her niliposema haya kumhusu Samia Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
She is so humble Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
Na hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Na hapa Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
P
Bado teuzi zinaendelea ongeza bidii mkuuHuu ni uthibitisho kuwa Rais Mama Samia ni mpenda haki, mtenda haki, atabarikiwa, nchi itabarikiwa na itaneemeka kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kila nikimtafakari Rais Samia, I was never wrong about her niliposema haya kumhusu Samia Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
She is so humble Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
Na hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Na hapa Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
P
We ngombe kila mtu ana uhuru wa kukoment atakavyo humu. Mpumbavu weAcha udini we Kafiri, mbona JPM alimtoa Babu Seya jela ambaye aling'ang'aniwa miaka na miaka na yule Muislamu lakini hukusema kuwa Wakristo wa Bongo wana roho nzuri sana kuliko Waislamu [emoji848][emoji19]
Ficha upumbavu wako [emoji34]
Utawala wa awamu ya 5 iliumiza sana watu, Rais Samia anarejesha mshikamano wa Kitaifa ulioharibiwa na Magufuli. Ubaguzi wa kivyama ulishamiri, ilifikia wakati akifa wa chama fulani wengine wanasema haituhusu. Mwacheni Mungu aitwe Mungu.Huwa mkirushiwa fupa kidogo mnaanza kuparuana Kama wapumbavu HIV endeleeni mwisho mtaambulia manyoya