Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Hongera mama samia kwa kumtendea haki mtanzania mwenzetu Tundu Lissu. Aliporwa vyote vilivyowezekana mchana wa jua kali na genge lile baya la majambazi moja likiwa jumba jeupe jingine likiwa mjengoni Dodoma. Kwa uweza wa aliye juu yote yamezima kama moto wa nyikani. Ubarikiwe Mama
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa...
Mambo yanazidi kunoga.

Samia sio Mjinga adharau mapenzi ya Mungu.

Viva Rais Samia
 
Huu ni uthibitisho kuwa Rais Mama Samia ni mpenda haki, mtenda haki, atabarikiwa, nchi itabarikiwa na itaneemeka kisiasa, kiuchumi na kijami...
Mimi sina pingamizi kuhusu hili. Penye Haki , umoja na mshikamano na utawala bora maendeleo yanakuwa ni swala la muda tu. Ni AUTOMATIC
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa...
Inabidi uamkie shikamoo!! Na usiseme rais tu sama mama pia! Wakati mwingine wema ni fimbo nzuri sana!! Inajua kukata mzizi wa fitina!!
 
Mimi sina pingamizi kuhusu hili. Penye Haki , umoja na mshikamano na utawala bora maendeleo yanakuwa ni swala la muda tu. Ni AUTOMATIC
Kweli kabisa SS wote ni watanzania na CCM watambue kwamba hii nchi hawawez kuijenga peke yao. Ndio maana miaka 60 ya Uhuru maendeleo hayaendani na mda, tubadilike tuijenge nchi yetu.

Mm kwa moyo wangu nitampenda, nitamheshimu,nitamkosoa na nitampinga mama kistaarabu bila mawazo kinzani au kupingina kwa hoja zenye majibu hatufiki popote Kama taifa.

Misingi ya chochote ni ukinzani/ ukinzani yaani hasi na chanya, Nuru na Giza, usiku na mchana, n,k
 
Kweli
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa Chadema ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.


nimemwelewa Mh Tundu Lissu. Akirudi Tundu anakuwa msalaba kwa Rais Samia. Kama wanaelewa hili aisee wafanya jambo.

Tundu Lissu ni mzigo wa Rais😅😅
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa Chadema ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.

Magufuri kwa huku bongo tulishafunga jarada lake,ajee na mengine tuu Kama unajuwaa kwa kuendeleza kusema vibaya ndio itafaa kwahapa tz amefeli,sisi letu liko moyoni tukutane 2025.
 
Watu wengi humu hawajui tofauti ya kiuongozi kati ya JPM na bi Hangaya.
Magu alikuwa na mkakati wa kuendesha nchi kwa kutumia pesa za ndani huku akikopa kidogo.

Samia yeye anaendesha nchi kwa
kukopa sana huku akiacha maingizo ya pesa za ndani zikiwa hazina msukumo wowote.
Magufuli ndio Rais aliyekopa kuliko marais wote, sema nyie mazezeta aliwaambia fedha za ndani kwa kuwa hamjui lolote mkaitikia tu
 
Magufuri kwa huku bongo tulishafunga jarada lake,ajee na mengine tuu Kama unajuwaa kwa kuendeleza kusema vibaya ndio itafaa kwahapa tz amefeli,sisi letu liko moyoni tukutane 2025.
Kwani unaumia akisemwa vibaya?
 
Back
Top Bottom