Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendazake ndio alilamba udongo kwa kutocheka na nyaniAnacheka na nyani, ajiandae kuvuna mabua.
Ila Kuna mahali umesema CCM na chadema hawana mustakabali mwema na taifa letu?Kwani kuna mahali nimesema umoja party na ngongwe wanamstakabali mwema na taifa ?🤔
Nyie wapumbavu wa lile zezeta ndio mlikuwa mkiitwa wanyonge mnagalagala kwa furaha...kwa nini hampendi watu kupewa haki zao?Huwa mkirushiwa fupa kidogo mnaanza kuparuana Kama wapumbavu HIV endeleeni mwisho mtaambulia manyoya
Watakosaje hoja?.Siasa nikuuza sera.uku kwetu kwasababu ya umaskini wetu ndo maana unaona tunajadili sana matatizo kwenye majukwaa ya kampeni.ila nchi zilizoendelea na kuelimika wanachoangalia ni nani ana sera nzuri kuliko mwingine,ndo maana ata America pamoja na maendeleo waliyonayo bado kuna ushindani wa vyama.SAMIA anavyokwenda na wapinzani ,2025 wapinzani watakosa hoja.
Sidhani kama ufikiriavyo ndivyo!Fupi nyundo fupi nyundo
Kwanza alikaza mishipa ya shingo balaa, akamvua ubunge mwana, lakini jamaa kwakua baharia akasonga mbele baada ya maswahibu.
Sasa aliyemvua ubunge leo ni sawa tu na raia wa kawaida hana maajabu nadhani hata mjengoni anaingia kwa kuvizia sana.
Mwelezeni mtoto wa ikungi kavuta mafao kwa sasa anakula whisky na nyama choma belgium , yeye anapigwa na vumbi la funza kule kwao na ajue heshima yake ilishuka kitambo ajijue kabisa.
HapanaIla Kuna mahali umesema CCM na chadema hawana mustakabali mwema na taifa letu?
Umemchana live yaaniFupi nyundo fupi nyundo
Kwanza alikaza mishipa ya shingo balaa, akamvua ubunge mwana, lakini jamaa kwakua baharia akasonga mbele baada ya maswahibu.
Sasa aliyemvua ubunge leo ni sawa tu na raia wa kawaida hana maajabu nadhani hata mjengoni anaingia kwa kuvizia sana.
Mwelezeni mtoto wa ikungi kavuta mafao kwa sasa anakula whisky na nyama choma belgium , yeye anapigwa na vumbi la funza kule kwao na ajue heshima yake ilishuka kitambo ajijue kabisa.
Unajikana mwenyewe?Hapana
Ndugai alitakiwa kushitakiwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi ya Spika!! Kuna mambo mengi ambayo ushahidi wake ungetolewa kwamfano matumizi ya fedha kwenda India haukufuata taratibu za fedha za serikali.na ndiyo maana karudi kwao kongwa, alifeli kusoma upepo.
Magufuri kwa huku bongo tulishafunga jarada lake,ajee na mengine tuu Kama unajuwaa kwa kuendeleza kusema vibaya ndio itafaa kwahapa tz amefeli,sisi letu liko moyoni tukutane 2025.
VP wavuvi ndio hatuna maana kabisa ndani yamoyo wake kwani tulidhumiwa pia nautawala ule haswa kata yakalya kijiji kashagulu wilaya uvinza tutizamwe pia mzee alituzuru sanaMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa Chadema ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa Chadema ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Samia kiongozi halisi. Hawa ndio viongoziMadame kalipa halafu hajajitangaza na hajafanya mbele ya kamera.
Aliyelipwa ndiye kaja kusema.
Jamani mi nakua chawa wa Madame jamani
Uchawa mzee unakushushia hesimaHuu ni uthibitisho kuwa Rais Mama Samia ni mpenda haki, mtenda haki, atabarikiwa, nchi itabarikiwa na itaneemeka kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kila nikimtafakari Rais Samia, I was never wrong about her niliposema haya kumhusu Samia Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
She is so humble Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
Na hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Na hapa Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
Na hapa Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.
P