Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Wakati wakina John Pumbulu wanapambana mambo ya katiba hadi kupata vipigo, hawa vigogo wa chama wako bize kukubaliana maslahi yao na watesi. Mbowe na Lissu wajadiliwe na kamati kuu.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.

mmh
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.

MAMA ana Hofu ya MUNGU na MUNGU Ampe Maisha marefu ya Kuwatumikia Watanzania

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Umemezeshwa propaganda we kiumbe!!!!hebu tuanglie matendo mabaya wanayoyafanya wazungu hapa ulimwengun
hapana mkuu. Kila nafsi ihukumiwe kwa matendo yake. Kwa hili bandiko lako, ina maana waislam wote ni magaidi kama Bin Laden au ISIS wanaokata watu vichwa? Neno devoted unalipimaje?
tafakari kabla ya kuandika.
 
Pongezi kwa Samia.

So, Samia kamlipa stahiki zake zote ila bado hajamkubalia kurudi nyumbani? au alishakubaliwa kurudi nyumbani ila yeye ameamua kubaki Ubelgiji kwa mambo yake binafsi?

Atuweke wazi na kwenye hilo, sababu huwa anatoa ahadi za nitakuja tarehe fulani, halafu tarehe hiyo ikifika haonekani bila kutuambia kwanini hajarudi, ili kama lawama zibaki kwa Samia na serikali yake tujue, au kama lawama ni za Lissu binafsi tujue.
Usione gere kasema kalipwa stahiki zake zote wewe kinakuuma nini
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.

Km ipo hivyo, MUNGU ambariki sana Mama Samia,mama huyu ana utu sana,potelea mbali madhaifu ya kibinadamu ambayo kila mtu anayo.
 
Hero kwako labda huyo mal uuun
Hahahaaaa kwenye siasa kuna hesabu zake mkuu, kikubwa ni matumizi sahihi ya mtaji kwa wakati sahihi

Rest well our hero John Pombe Magufuli
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais Samia suluhu Hasan
 
Kwamza wanajukwaa Nina wasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pili ninampongeza Mama Samia kwa hili la kumlipa stahiki zake ndugu yetu, mtanzania mwenzetu na makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo stahiki zake, ni Jambo jema na linapendeza pia ndio utanzania huu.

Tatu upinzani si kupinga,kukosoa, na kuchukia Kila kitu kinachofanywa na serikali ya ccm kwenye mazuri tuseme bila kupepesa macho, Tundu lissu aliumizwa, alidhulumiwa Sana na serikali ya awamu ya tano.

Nne Mama Samia ni kweli kabisa watanzania tunahitaji katiba mpya, week historia ya kudumu ulimwenguni Kama mwanamke aliyesaidia nchi yake kupata katiba mpya hicho utajivunia milele.

Tano, ninakuombea kwa Mungu akutangulie kutimiza majukumu yako ya uraisi maana ni magumu Sana na angalau unaonyesha nia njema na wewe ni tumaini jipya la watanzania kutokea CCM
 
Mungu ambariki mama Amefanya jambo kubwa sana la utu ndivyo binadamu tunavyotakiwa tuishi hivyo ,Mungu mbariki mama huyu mpe maisha marefu sana
 
Back
Top Bottom