Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Alinyimwa na Ndugai, siyo Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli kabisa. Yaani Rais wetu ni wa matendo Tu. Chema chajiuza. Kinyume chake sijui ni nini? Ukweli inabidi wasanii watoke front wamtangaze kwa kila hatua.Madame kalipa halafu hajajitangaza na hajafanya mbele ya kamera.
Aliyelipwa ndiye kaja kusema.
Jamani mi nakua chawa wa Madame jamani
Kwa sababu hawapendi upinzani wanataka vya kunyonga labda.Waislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Yeye mbona hakusamehe wenzake hadi akafikia hatua ya kuua na kutaka kuua? Mimi bado nipo nipo sana. Wala sina chuki nasema ukweli ulivyo.Kama amelipwa kinachomfanya aendelee kukaa kwa amsterdam ni nini , au ukuni
Acacia hawajatushitaki MIGA sasa
Kwa order yake siyo? Angemlipaje wakati Mungu mtu wake ni adui wa Lisu? Mmoja anaozea ardhini na mwingine anaugulia maumivu. Malipo ni hapa hapa duniani Mkuu.Alinyimwa na Ndugai, siyo Magufuli.
Sema nipeleke kamba 😀😀😀😄😄😄🤗🤗🤗Job Ndugai hapo anataka kujinyonga!
Sukuma huko wote. Dadeki. Yaani mkuu mama anawakimbiza kama kimbunga cha Tsunami.gooo samia goo
nenda mama nenda kimbiza misukuma gaang
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Tunasherehekea na hatutaacha kusheherekea kila mwaka tarehe 17/3 kwa Mungu kulichukua lile nyangumiEndelea kujijengea kansa, vidonda vya tumbo, BP, stroke na hadi uparalaizi kabisa ufe kwa roho isiyosamehe, la sivyo kunywa sumu ufe kiurahisi kabisa [emoji28]
Mama anawajulia wananchi wote, lile zee lilifikiri kuongoza nchi ni mabunduki na kufokafoka tu .😂😂Viva mama. Mama anawajulia kweli [emoji23]
Kumbe kutoa wabakaji wa watoto jela ni wema...Acha udini we Kafiri, mbona JPM alimtoa Babu Seya jela ambaye aling'ang'aniwa miaka na miaka na yule Muislamu lakini hukusema kuwa Wakristo wa Bongo wana roho nzuri sana kuliko Waislamu [emoji848][emoji19]
Ficha upumbavu wako [emoji34]
Wapo pia wanaosherehekea kumpelekea mkeo moto huku akikutukana wewe, familia yako na ukoo wenu wote, hii ndiyo dunia [emoji38]Tunasherehekea na hatutaacha kusheherekea kila mwaka tarehe 17/3 kwa Mungu kulichukua lile nyangumi
Wema mkubwa sana, kwani wangapi wapo jela bila ushahidi wa kutoshwa lakini wamebambikiziwa kesi na matajiri, au viongozi wenye madaraka makubwa [emoji848]Kumbe kutoa wabakaji wa watoto jela ni wema...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Devoted muslim my ass; hivi hamuoni watu wa chini wanavyoteseka?Devoted Muslims have a clear sense and meaning of ''justice'' than the other devoted and pious imitators