Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.
Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.
Kuhusu kurudi anamuwekea Rais Samia masharti yasiyo na maana.
Anyway Rais Samia ni mpango wa Mungu. Yule shetani aliharibu sana nchi yetu