Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mjinga kweli lissu atakupa nn sas katk pesa hzo
2025 hapatakuwa na uchaguzi, tutakuwa Tunamalizia kuandika KATIBA mpya.2025 wapinzani wote wa mama watakuwa wanamuunga mkono..2025 anapita bila kupingwa
In order to understand the contest, would you please write in English? Dou you even know the literal meaning of the word ''devout''?hapana mkuu. Kila nafsi ihukumiwe kwa matendo yake. Kwa hili bandiko lako, ina maana waislam wote ni magaidi kama Bin Laden au ISIS wanaokata watu vichwa? Neno devoted unalipimaje?
tafakari kabla ya kuandika.
na huu ndio ukweli unaofichwaWaislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Tatizo wakristo kinachowasumbua ni ukabilaWaislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Ndungai ni "uzao" wa hapa kazi tu, ila bahati mbaya uzao huo umefunikwa na kazi iendelee...mbona Ndugai alikuwa akisisitiza na kujiapiza kuwa Lissu hadai chochote?
Vipi tena mpwa.... umeona nini huko ng'ambo ya pili?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Haya mambo ya siasa mpwa huwa hayaaminiki.... usishangae pia ukija kuona ipo kinyume kama usemavyo.2025 wapinzani wote wa mama watakuwa wanamuunga mkono..2025 anapita bila kupingwa
Jaman jaman... taratibuni basi.Wale wafuasi wa lile zimwi la Chato wanasaga meno kwa hasira,hii mijitu ina roho za kishetani sana
Kwani huko kulipwa mjomba si pia walishaangalia sheria inasemaje na inatakaje? Au ni maamuzi ya mtu binagsi yamepita?Kwamba Samia ndio Kamlipa ? Hii nchi itakuwa ya Kifalme kama vile ambavyo tungekasirika uweze wa JPM kuzuia ndio tukasirike uwezo wa Rais kulipa..., Ifike wakati tuwe na Taasisi zinazofuata sheria inasema / inataka nini sio mtawala anaamua nini
Ndugai is dead snake, ni useless fella kwa sasa, mwendo ameumaliza...mbona Ndugai alikuwa akisisitiza na kujiapiza kuwa Lissu hadai chochote?
AmenUsiwasingizie wakristo kwa ushetani wa mtu mmoja,tukisema yule jamaa ni alikuwa shetani chawa wake wanakuja juu
2025 wapinzani wote wa mama watakuwa wanamuunga mkono..2025 anapita bila kupingwa
Where are heading at my Kagoshima? umefanya research au umekurupuka na haya mambo? Be careful do not to utter sweeping statem
English gani hii chief? Grammar mbovu ovyoWhere are heading at my Kagoshima? umefanya research au umekurupuka na haya mambo? Be careful do not to utter sweeping statements