Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mtanzania.Kwa nini asiungwe mkono kama anakataa uonevu na ujinga?Huwa kuna mambo tunakosea kuwaza.Kwani upinzani umetokea wapi?Ni kwa sababu ya kutoridhishwa na mienendo ya kisiasa tu.Kama mambo yanaenda uzuri,nani atakuwa mkinzani?Tafakari.2025 wapinzani wote wa mama watakuwa wanamuunga mkono..2025 anapita bila kupingwa
Nyie mliokataa kumlipa aibu iwe juu yenu.Asije wakati wa kampeni akasema hakulipwa stahiki zake.
Hakuaminiki, wasiojulikana bado kujulikana, Au wewe unawajua?Ni jambo jema
Rudi nyumbani sasa tujenge nchi
Afadhali umesema ni imitators.
Yule mwingine, kwa hakika hakuwahi kuwana dini, labda mizimu.
Hakuna muumini wa dini yeyote awe mkristo, muislam, budha au hindu ambaye anaweza kuwa muuaji,mtekaji na mpotezaji wa binadamu wenzake.
Ndiyo maana, wengine walisema, "tuna shetani"
Naona naye analamba asaliMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa
Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa
Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo
Huku Hakuna ishu akae kule kulePongezi kwa Samia.
So, Samia kamlipa stahiki zake zote ila bado hajamkubalia kurudi nyumbani? au alishakubaliwa kurudi nyumbani ila yeye ameamua kubaki Ubelgiji kwa mambo yake binafsi?
Atuweke wazi na kwenye hilo, sababu huwa anatoa ahadi za nitakuja tarehe fulani, halafu tarehe hiyo ikifika haonekani bila kutuambia kwanini hajarudi, ili kama lawama zibaki kwa Samia na serikali yake tujue, au kama lawama ni za Lissu binafsi tujue.
Amelipwa stahiki za kibunge ila pesa yake ya matabibu hajapewa mpaka sasaAsije wakati wa kampeni akasema hakulipwa stahiki zake.
Wee mjinga kweli lissu atakupa nn sas katk pesa hzoAsante sana Mama. Machozi yamenitoka kwa furaha. Haki itawale na Mungu akulinde sana.
tuache udini.Waislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
hapana mkuu. Kila nafsi ihukumiwe kwa matendo yake. Kwa hili bandiko lako, ina maana waislam wote ni magaidi kama Bin Laden au ISIS wanaokata watu vichwa? Neno devoted unalipimaje?Devoted Muslims have a clear sense and meaning of ''justice'' than the other devoted and pious imitators
Kwa katiba yetu ni Samia ndo kamlipa na jiwe ndo alizuia malipo,Kwamba Samia ndio Kamlipa ? Hii nchi itakuwa ya Kifalme kama vile ambavyo tungekasirika uweze wa JPM kuzuia ndio tukasirike uwezo wa Rais kulipa..., Ifike wakati tuwe na Taasisi zinazofuata sheria inasema / inataka nini sio mtawala anaamua nini
Naliona hili2025 wapinzani wote wa mama watakuwa wanamuunga mkono..2025 anapita bila kupingwa
Nimeshawafaham tayarikuna wana ccm hawatapenda hii kitu.
Ohooooo!.Waislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Katika wapumbavu 3 Bora wewe upo pamoja na aliyemyima Lissu stahiki zake na kujaribu kumuua... mbafu kabisaWee mjinga kweli lissu atakupa nn sas katk pesa hzo