Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Ingawa Rais Samia, kama mwanadamu, anaweza kuwa na mapungufu yake, lakini kwa kweli katika utu, hekima, ubinadamu na busara, Mungu amemjalia. Tumshukuru Mungu kwa kutupa nafasi mbili zilizo kinyume:

Alitupatia kiongozi katili asiye na busara, ili tuone umuhimu wa kuwa na kiongozi mwenye busara.

Akatupatia kiongpzi mwenye busara, ili kutuoneshe ilivyo jambo jema na la furaha kuwa na kiongozi mwema.

Rais Samia, kwa hekima yake, ataheshimika na wengi, tofauti na mtangulizi wake ambaye ameendelea kudharaulika kwa ukatili wake, hata wakati akiwa ameondoka Duniani.

Maombi yetu, Mungu azidi kumjalia busara Rais Samia, maana busara ya kiongozi ni faraja kubwa kwa wanaoongozwa.
Amen. Tusichoke kuwapa masomo wale waliokuwa wameanza kuabudu na kujivunia ukatili na ushetani
 
Kwamba Samia ndio Kamlipa ? Hii nchi itakuwa ya Kifalme kama vile ambavyo tungekasirika uweze wa JPM kuzuia ndio tukasirike uwezo wa Rais kulipa..., Ifike wakati tuwe na Taasisi zinazofuata sheria inasema / inataka nini sio mtawala anaamua nini
Sasa kama kila mbunge alikuwa keshalipwa na yeye ikatamkwa kuwa hadai chochote, kaongea na Samia akalipwa, sasa hapo utasema nani kamlipa? Haijakaa sawa ila ndio nchi yetu ilivyo
 
Shetani hajawahi kumshinda Mungu hata siku moja.
Haki ya mtu huwa haipotei isipokua uchelewesha tu na wenye HUSDA.

Magufuli alistahili kufa, kuoza na kufukiwa ila sio kwenye ardhi ya Tanganyika. Angesafirishwa kwao Burundi kwa WASHENZI waliomzaa HAYAWANI huyu.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.


Arudi nyumbani sasa .
 
Mama anaupiga mwingi jamani. Magu roho mbaya yake haina nafasi
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.



Siasa ni sayansi
Safi sana rais wetu
 
Mama anaupiga mwingi jamani. Magu roho mbaya yake haina nafasi

Hahahaaaa kwenye siasa kuna hesabu zake mkuu, kikubwa ni matumizi sahihi ya mtaji kwa wakati sahihi

Rest well our hero John Pombe Magufuli
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais Samia suluhu Hasan
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.


Ni uungwana kukiri hadharani. Nimefuatilia mazungumzo husika club house - kweli Lissu ana kipawa cha kipekee sana kuelezea issues na kukumbuka issues. Kukiwa na Presidential Debate na candidate yeyote ataupiga mwingi sana.
 
Afadhali umesema ni imitators.

Yule mwingine, kwa hakika hakuwahi kuwana dini, labda mizimu.

Hakuna muumini wa dini yeyote awe mkristo, muislam, budha au hindu ambaye anaweza kuwa muuaji,mtekaji na mpotezaji wa binadamu wenzake.

Ndiyo maana, wengine walisema, "tuna shetani"
Hakuna dini ingeweza kukubalianna na vitendo vyake. Yale yalikuwa ni matashi yake
 
Back
Top Bottom