"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba amesema "Tunaupungufu wakutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, usiulize nimekuta nini kwani majibu hayatakuwa mazuri"
Aache kutupigia makelele yake hapa. Naye atafute pesa zake za kuendeshea chama. Si aliona ni rahisi kuendesha chama? Hafahamu kuwa Mwamba alikuwa amejitoa na kujitolea kwa hali na mali kwa ajili ya CHADEMA? Na bado ipo siku atasema chama kimemshinda kukiendesha. Nipo pale 👉nimekaa naangalia mwisho wake
Sasa huwo utafiti wako ulikuwa unatafitia kitu gani hata kitu kidogo chenye kueleweka na wewe unaongea hoja ambayo hata haifanani na kilichoelezwa hapo.
Aache kutupigia makelele yake hapa. Naye atafute pesa zake za kuendeshea chama. Si aliona ni rahisi kuendesha chama? Hafahamu kuwa Mwamba alikuwa amejitoa na kujitolea kwa hali na mali kwa ajili ya CHADEMA? Na bado ipo siku atasema chama kimemshinda kukiendesha. Nipo pale 👉nimekaa naangalia mwisho wake
Lisu ana shida kama ya JPM. Hajui nini cha kuongea hadharani na kipi cha kuongea kwenye vikao vyao vya ndani. Atapoteza watu kwa hii style yake ya kuongea bila break. Asifikiri watu wanaipenda sana chadema. Ni vile hakuna chama mbadala kwa sasa wa kupambana na ccm.
Laiti wagombea binafsi wangekuwa wanaruhusiwa, ccm na chadema vingebaki na ofisi bila watu.
Yeye afanye kazi aache siasa za kulalamika,kama hakuna hela aseme chama hakina hela wanachama watachanga na siyo kulalamika kwamba hakukuta kitu wakati anajuwa fika Mwenyekiti mstaafu ndiyo alikuwa mfadhili wa Chama.
Sasa huwo utafiti wako ulikuwa unatafitia kitu gani hata kitu kidogo chenye kueleweka na wewe unaongea hoja ambayo hata haifanani na kilichoelezwa hapo.
Aache kutupigia makelele yake hapa. Naye atafute pesa zake za kuendeshea chama. Si aliona ni rahisi kuendesha chama? Hafahamu kuwa Mwamba alikuwa amejitoa na kujitolea kwa hali na mali kwa ajili ya CHADEMA? Na bado ipo siku atasema chama kimemshinda kukiendesha. Nipo pale 👉nimekaa naangalia mwisho wake