ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Lakni mbona mnashindwa kuelewa kitu kidogo tu. Ama kweli huko lumumba mnavuliwa akili ndio maana mnashindwa na hoja zenu zinakinzana.Na alisena yeye kama makamu mwenyekiti kuwa Chadema pesa ziko nyingi zinaishia kuliwa makao makuu hazifiki matawini
Akasema akishika atahakikisha hizo pesa zinafika matawini.Azifikishe sasa
Ulaghai una mwisho kampaka matope Mbowe weeee
Atakayechanga atakuwa akili hana aambiwe alizosema zipo ashushe matawi