Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Walaaa....Kweli ccm mnamchukia Lissu bila ya sababu.
Hatumchukii kama binadamu bali tunamkosoa mawazo yake koko anayotaka kuwaaminisha WAJINGA......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walaaa....Kweli ccm mnamchukia Lissu bila ya sababu.
Ha ha ha ha haWacha hasira.Changia hali mbaya kasema Mwenyekiti.
Alijitolea. Mwambie lissu naye atafute PesaMwamba alikuwa amejitolea au alikuwa anakomba kibubu? Unamsifia mwizi!?
walienda kujipongeza bagamoyo kwa zaid ya siku4 wanaogelea tu kwenye swimming pools za hotel ya kifahari sana, eti ndiyo ilikua retreat ya viongozi wapya dah,Walienda expensive retreat ?
Nooooway😂.
Serikali ya awamu ya 4 na ya 6 zinafanana sana. WIZI ,UFISADI WA KUTISHA na UNDUGU/USHKAJI.JPM na Lissu wanatabia za kufanana.
Sema mmoja aliaamini katika matendo na matokeo yanayoonekana.
Mwinginwe anaamini katika maneno.
Kutwa nzima tuongee na kupiga domo.
Ruzuku, ada za wanachama na michango mingineyo zilikuwa zinaenda wapi!? Kifupi Lissu kaamua kumstahi mwizi.Yeye afanye kazi aache siasa za kulalamika,kama hakuna hela aseme chama hakina hela wanachama watachanga na siyo kulalamika kwamba hakukuta kitu wakati anajuwa fika Mwenyekiti mstaafu ndiyo alikuwa mfadhili wa Chama.
Mtoto amelilia wembe huyu! 😬😬😬Hawezi lalama kwako maana Huna hela wewe!
...umoja wa akina Mangi wafanyabiashara wa kariakoo wamejiapiza kusitisha ile michango yao ya kila mwezi kwa CHADEMA.....Hawezi lalama kwako maana Huna hela wewe!
Wacha visingizio changia.Hali mbaya Mwenyekiti kasema.Ruzuku, ada za wanachama na michango mingineyo zilikuwa zinaenda wapi!? Kifupi Lissu kaamua kumstahi mwizi.
....umkateee umkateee umkateee ....Mtoto amelilia wembe huyu! 😬😬😬
Tunajifunza kitu hapa, "usione vyaelea kaka, tabia ya kutamani tamani vitu hii mbaya Sana"....umkateee umkateee umkateee ....
Chadema kuingia ikulu Bado sana!Ila naomba ukiondoka na kijiji October usinisahau ukuu wa mkoa 🤔
Onyesha vitendo hapa, tukakae bar 😀Tuko radhi kuchangia fedha mhe. Mwenyekiti 🙏🏿
Ashakum si matusi ,ukitamanitamani hovyo bila kuzitengeneza basi UTACHAPWA nao....vijana wa Lamu na Bamburi wanayajua hayo vyema tu.....Tunajifunza kitu hapa, "usione vyaelea kaka, tabia ya kutamani tamani vitu hii mbaya Sana"
#chama kinamfia mchana peupe!
miaka 5 iliyopita mh.Katibu Mkuu wa. cHADEMA ndg.John Mnyika amesema kuwa walipata RUZUKU bilioni 12.5....yaani hizi zote zilitumika na kuisha ?!!!
Ikulu ya ndotoni hiyo....ha ha ha haChadema kuingia ikulu Bado sana!
Lisu msema kweli dunia itachanga pesa ku run shughuli za kilq sikuAache kutupigia makelele yake hapa. Naye atafute pesa zake za kuendeshea chama. Si aliona ni rahisi kuendesha chama? Hafahamu kuwa Mwamba alikuwa amejitoa na kujitolea kwa hali na mali kwa ajili ya CHADEMA? Na bado ipo siku atasema chama kimemshinda kukiendesha. Nipo pale 👉nimekaa naangalia mwisho wake