Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Point....Hati safi ya mahesabu ikatolewa na CAG na kutoa hati hizo mwaka hadi mwaka bila kuweka angalizo lolote.
Pia Msajili wa Vyama Vingi Vya Siasa hakuona aina yoyote ya kuweza kukibana chama cha CHADEMA kwa kuwa mambo yote yameendeshwa kwa mujibu wa katiba na utaratibu wa chama.
Kwa hiyo mh.Tundu Lissu anaudanganya UMMA....
Kweli ndugu Lissu amefurutu ada.....