Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama (CHADEMA), msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hili ni bandiko lako la 12,000 kuhusu CHADEMA. Mabandiko yako kuhusu chama chako CCM hayafiki hata 10

πŸ˜†πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„
 
Yes,
gentleman, kusema ukweli hapachoshi kabisa.

kibaka na tapeli wa siasa ndani ya chadema anajarbu kutoa majeshi uwanjani kisayansi kwa kutumia no reform no elections ili kukwepa fedheha ya kushindwa uchaguzi vibaya sana πŸ’
Si ndio furaha yako chadema ife ama nene we kibanga
 
Yes,
kiongozi mpya kazi yake muhimu ni kufanya retreat za kifahari kula bata na ndugu jamaa na marafiki kwenye mahoteli ya kifahari huko bagamoyo,

zikiisha anarudi kuwatapeli tena kwa kupitisha bakuli kuomba achangiwe tena pesa 🀣
 
Si ndio furaha yako chadema ife ama nene we kibanga
Furaha yangu ni kuona wananchi na waTanzania wote hawatapeliwi na vibaka wa siasa nchini bali wanafurahia matunda yanayoletwa na serikali yao sikivu chini ya Dr Samia Suluhu Hassan,

Lakini furaha yangu zaidi ni kuona Tanzania panakuepo na United and vibrant opposition na sio utapeli kama anaoufanya huyo wa chadema πŸ’
 
Kwahiyo hutaki watapeliwe na vibaka ila unataka watapliwe na majambazi ya kijani kibichi ccm, tena yenyewe hayatapeli yanaiba kabisa kwakutumia mtutu wa bunduki
 
Hili ni bandiko lako la 12,000 kuhusu CHADEMA. Mabandiko yako kuhusu chama chako CCM hayafiki hata 10

πŸ˜†πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„
Gentleman,
utapeli lazima uwe exposed bila mbambamba ya mtu yeyote,

na ni rahisi sana tu kueleza bayana azma potofu ya kibaka wa kisiasa chadema, namna anavyotaka kukwepa fedheha za kushindwa vibaya Uchaguzi kwa agenda ya no reform no elections kumbe bana ni ukata mbaya sana unaokizonga chama hicho, na tapeli asijue cha kufanya kwasabb haaminiki kwa wadau na waTanzania wote kwamba ni raia wa Tanzania kweli au wa ubelgiji, hata watu wajitolee kumsaidia?πŸ’
 
Akikacha unaumia? Si mnajipakulia maasilimia sasa ya kumwaga!
 
Sidhani kama hamuoni hali halisi ya wananchi ilivyo ngumu na bado mnataka mambo yaende tu kama mnavyo ona Kifo cha CDM mjue ni kaburi la W,, watanzania nyie furahini tu mtakuja kuniambia ingawa imani yangu inanituma kuwa CDM ni haifi leo wala kesho
 
Kwahiyo hutaki watapeliwe na vibaka ila unataka watapliwe na majambazi ya kijani kibichi ccm, tena yenyewe hayatapeli yanaiba kabisa kwakutumia mtutu wa bunduki
Infact,
kibaka na tapeli wa siasa,
anataka kuwatapeli wananchi hususan wa chadema hadi fikra, eti wasiende kupiga kura 🀣

kukosa akili ni kitu mbaya sana aise dah πŸ’
 
Hili ni bandiko lako la 12,000 kuhusu CHADEMA. Mabandiko yako kuhusu chama chako CCM hayafiki hata 10

πŸ˜†πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„
Nadhani katika watu CHADEMA inatakiwa kuwashukuru, ni hawa johnthebaptist , Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa.

Hawa jamaa wanaongoza kwa kuipa promo ya bure kabisa CHADEMA kwa kupandisha nyuzi zisizo na idadi na nadiriki kusema bila wao, CHADEMA ingekua imesha sahaulika humu jamvini. Viongozi wa CHADEMA waangalie namna ya kuwatumia chochote hawa jamaa aisee sio kwa kupambana huku.
 
Yes,
kiongozi mpya kazi yake muhimu ni kufanya retreat za kifahari kula bata na ndugu jamaa na marafiki kwenye mahoteli ya kifahari huko bagamoyo,

zikiisha anarudi kuwatapeli tena kwa kupitisha bakuli kuomba achangiwe tena pesa 🀣
Umekwepa kujibu hoja umeanza usengenyaji.
 
Bora msema kweli,
ndio,
aseme kwamba alienda bagamoyo kula maisha na watu wake wa karibu na walitumia milioni 65,

na sasa chama hakina pesa naomba msaada wenu kwa hali na mali ili chama kipate tena pesa za kutusua viongozi.

Ukweli ni kitu cha maana sana kuliko kuficha mambo πŸ’
 
Sisi Ndio tunawatumia chochote Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…