Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama (CHADEMA), msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wale wenye hela za kuchezea wamchangie.
 
Binafsi nadhani Chadema ina kiongozi uchwara kwa sasa. Activist mzuri sana ila sio kiongozi mzuri.
 
Reactions: Tui
Anataka kuwa clear kwamba kakikuta chama hakina hela, asije kuangushiwa jumba bovu yeye kwamba yeye ndiye kaiba.

Halafu huu ni mkakati wa kuchangisha watu pia.
 
Wewe ni mtu smart na sitegemei ukaipuuza hoja kwa kuwa nimeitoa mimi UVCCM...

Mkuu fanya "analysis" yako pale Kariakoo.....utawajua wale Mangi ambao wamegoma kuendelea kukichangia chama chenu......
CHADEMA sio Chama cha Kikabila ni Chama cha Kitaifa kama kuna Wachaga ambao wameamua kutichangia Chama basi na waache sisi tunaingia kazini.
 
Lissu ni mtu mlalamishi sana, hupenda kuwaangushia wenzake jumba bovu. Ni kiongozi martini na si mpatanishi.
 
Reactions: Tui
Kama hutaki kutuambia ulichokikuta ñ sisi hatuchangi.
Kwani kuna Siri gani huko?
 
Reactions: Tui
Daima tutamkumbuka Mhe. MBOWE. alijitoa kwa hali na mali kuendesha shughuli za chama.
Sasa mtoto akililia wembe mpe....
Ndio tatizo la kuzoea siasa za maji taka.
Wameona kuifanyia CCM na vyama vyenye mrengo tofauti na wao, mwisho wamekulana wenyewe kwa wenyewe.
 
Cdm hawataki hela za wauza unga.
 
Nakumbuka Wakati TANU inazaliwa pale Mwananyamala A kwa mzee Mwinjuma ilikuwa haina hata cent Moja

Chadema imezaliwa Upya Fedha siyo kikwazo Cha wao kuwa Imara zaidi 😄
Unalinganisha 1954 na 2025?.Mzee wakati mwingine ngojea mpaka asubuhi ndio u comment.With due respect.
 
Lissu ni mtu mlalamishi sana, hupenda kuwaangushia wenzake jumba bovu. Ni kiongozi martini na si mpatanishi.
Hakuna kupatanishana mahali unafanywa boya. Hayo mapatano ya kipuuzi hayana nafasi tena.
 
Pesa za chama zilikuwa za mtu, ama hujui unaongea nini?
 
relax kwa utulivu gentleman,
Chadema inapitia ukata wa kiwango kibaya sana baada ya retreat ya kifahari sana kwa viongoz wapya, ya gharama zaidi ya milioni 65 bagamoyo,

Inasikitisha sana na inafedhehesha sana aise 🐒
65m, ndio ufanye retreat ya kifahari? Unajua unaongea nini kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…