Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
Mdomo wake haujawahi kuwa na utulivu wala staha wala hekima wala umakini wala utaratibu.ukimwambia weka ushahidi anaanza kujiuma uma tu.ndio maana nimesema ya kuwa itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa kwa CHADEMA kumchagua Lissu kuwa mwenyekiti wake. Lissu hawezi kujiongoza hata yeye mwenyewe. Ndio maana anashindwa kuongoza hata kauli na Maneno yake.
Usifikiri LISSU ni mwepesi kihivyo kama wewe mpuuzi kwa taarifa Yako Kuna watu wema ndani ya vyombo vya usalama wanampa LISSU taarifa sahihi ni watu wema wasiopenda upuuzi wa ccm walioko kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
 
Mdomo wake haujawahi kuwa na utulivu wala staha wala hekima wala umakini wala utaratibu.ukimwambia weka ushahidi anaanza kujiuma uma tu.ndio maana nimesema ya kuwa itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa kwa CHADEMA kumchagua Lissu kuwa mwenyekiti wake. Lissu hawezi kujiongoza hata yeye mwenyewe. Ndio maana anashindwa kuongoza hata kauli na Maneno yake.
2017 alipeleka ushahidi polisi mpaka namba za gari iliyokuwa inamfuatilia. Akifa utashangilia kwa sababu ulimi wako umezoea ladha ya damu ya watu. Ccm ni chama changu ila mtanzania yeyote akifa naumia, sababu huko tunao ndugu pia. Wewe ndiye unaropoka.
 
Enyi watu wabaya mjulikanao kama 'watu wasiojulikana,' nimezisikia njama zenu. Mnataka kuniumiza halafu mumsingizie Mwenyekiti wetu wa chama, Freeman Mbowe.

Ndivyo mlivyofanya wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe. Ndivyo mlivyofanya tena wakati mliponishambulia tarehe 7 Sept '17. Na ndivyo mlivyofanya miezi michache iliyopita mlipomteka nyara na kumuua Mzee Ali Mohamed Kibao.

Ndivyo mnavyofanya kila mnapoua watu wasio na hatia. Mnasingizia watu wengine ili nyie mnaohusika msiwajibike na udhalimu wenu.

Huyo mnayedhani mnamtumikia alitoa ahadi hadharani kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani. Waziri wake Masauni alirudia ahadi hiyo bungeni.

Mkiniumiza kama mnavyopanga mjue lawama yote itaangukia kwa Samia Suluhu Hassan. Badala ya kumlinda mtamchafua zaidi. Na kama ilivyokuwa kwa Magufuli baada ya 7 Sept '17, ndivyo itakavyokuwa kwa Samia.View attachment 3178142
Gunia la mimavi alikuwa anabebeshwa Mbowe na UVCCM wangelikomalia kama ambayo huwa wanakomalia ya Chacha Wangwe, na hili la kutia nia ya kugombea uenyekiti kwenye chama chake ndiyo ingedaiwa kuwa ndiyo sababu.
Ndiyo faida ya kuwa na watu ndani ya system unatonywa zile nyeti za ndani, wasiojulikana na bosses wao watashikana uchawi kuhusu nani kavujisha hiyo mission.
 
Mdomo wake haujawahi kuwa na utulivu wala staha wala hekima wala umakini wala utaratibu.ukimwambia weka ushahidi anaanza kujiuma uma tu.ndio maana nimesema ya kuwa itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa kwa CHADEMA kumchagua Lissu kuwa mwenyekiti wake. Lissu hawezi kujiongoza hata yeye mwenyewe. Ndio maana anashindwa kuongoza hata kauli na Maneno yake.
Hizi siasa zimetufanya kuwa watu wabaya Sana, hili ni suasala la usalama wa mtu ana haki ya kujilinda Kwa namna yoyote hasa ukizingatia yaliompata.

Hizi siasa zitapiata ila undugu na utaifa wetu ni muhimu Sana Kuliko kitu lingine.

Naumia Sana kuona mtanzania mwenzako anamua mtanzania mwenzake.. Kwasabu ya mtazamo tofauti

Turudi kwenye misingi ya Utu
 
Hizi siasa zimetifanya kuwa watu wabaya Sana, hili ni suasala la usalama wa mtu ana haki ya kujilinda Kwa namna yoyote hasa ukizingatia yalimpata.

Hizi siasa zitapiata ila undugu na utaifa wetu ni muhimu Sana Kuliko kitu lingine.

Naumia Sana kuona mtanzania mwenzako anamua mtanzania mwenzake.. bila ya kuhalisha chama chake.

Turudi kwenye misingi ya Utu
Lucas ana roho mbaya sijui analipwa nini huko ccm? Ni hela hizi huzi au kunakingine?
 
Mdomo wake haujawahi kuwa na utulivu wala staha wala hekima wala umakini wala utaratibu.ukimwambia weka ushahidi anaanza kujiuma uma tu.ndio maana nimesema ya kuwa itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa kwa CHADEMA kumchagua Lissu kuwa mwenyekiti wake. Lissu hawezi kujiongoza hata yeye mwenyewe. Ndio maana anashindwa kuongoza hata kauli na Maneno yake.
Kama lilivyo domo lako ambavyo Hadi huko ccm wamekupuuza hata uteuzi zero.
 
Back
Top Bottom