Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Alisema anataka kushambuliwa na akashambuliwa kweli. Unataka ushahidi gani, au ww ni sehemu ya watu wasiojulikana?Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema anataka kushambuliwa na akashambuliwa kweli. Unataka ushahidi gani, au ww ni sehemu ya watu wasiojulikana?Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote
Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote
Akaweke ushahidi wapi, kwa hili jeshi la polisi linalofanya utekaji na kubadili ukweli? Lisu amefanya vizuri sana kuwaambia ukweli wao, maana vyombo vya serekali ndio vinaendesha mauaji.Mdomo wake haujawahi kuwa na utulivu wala staha wala hekima wala umakini wala utaratibu.ukimwambia weka ushahidi anaanza kujiuma uma tu.ndio maana nimesema ya kuwa itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa kwa CHADEMA kumchagua Lissu kuwa mwenyekiti wake. Lissu hawezi kujiongoza hata yeye mwenyewe. Ndio maana anashindwa kuongoza hata kauli na Maneno yake.
Jamaa katulia kimyaaa!! Lissu anataka kukimbilia tena Ulaya nn 😂Mbowe huwa anasingiziwa mambo mengi sana!
Jinsi alivyoshituka utadhani ni yeye alipanga. Sio mshtuko wa kawaidaMbona umetahamaki sana mkuu? Unafahamiana na hao watu wabaya nini? Umenishtua kidogo.
Upo upande wa nani? Lissu au mbowe?Shetani hana Rafiki
Huyo anayepiga ngoma mbona kafanana na Lissu?
Jinsi alivyoshituka utadhani ni yeye alipanga. Sio mshtuko wa kawaida
Mafwele kisha rudi kutoka India?Enyi watu wabaya mjulikanao kama 'watu wasiojulikana,' nimezisikia njama zenu. Mnataka kuniumiza halafu mumsingizie Mwenyekiti wetu wa chama, Freeman Mbowe.
Ndivyo mlivyofanya wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe. Ndivyo mlivyofanya tena wakati mliponishambulia tarehe 7 Sept '17. Na ndivyo mlivyofanya miezi michache iliyopita mlipomteka nyara na kumuua Mzee Ali Mohamed Kibao.
Ndivyo mnavyofanya kila mnapoua watu wasio na hatia. Mnasingizia watu wengine ili nyie mnaohusika msiwajibike na udhalimu wenu.
Huyo mnayedhani mnamtumikia alitoa ahadi hadharani kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani. Waziri wake Masauni alirudia ahadi hiyo bungeni.
Mkiniumiza kama mnavyopanga mjue lawama yote itaangukia kwa Samia Suluhu Hassan. Badala ya kumlinda mtamchafua zaidi. Na kama ilivyokuwa kwa Magufuli baada ya 7 Sept '17, ndivyo itakavyokuwa kwa Samia.View attachment 3178142
Nyie CCM ni wauaji, nani asiyewajua?Hivi na wewe na akili yako timamu unaweza kumuamini Lissu maneno yake?
We ndo mropokaji chawa mkubwa.Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote
Samia kapewa maelekezo na waarabu ya kulinda ''uwekezaji'' wao. Wametoa fedha nyingi za kuhonga vyama vya upinzani ili visimpe upinzani na kuanika uovu wake na wakati wa uchaguzi visitoe upinzani kamili. Lissu pekee ndiye aliyekataa hii hongo ndiyo maana wanapanga njama za kumuumiza. Unakumbuka yule simba wa kwenye maonyesho ambaye Samia alisema ''hatulii kama Lissu'' hivyo aitwe Lissu? Alikuwa anamaanisha hatulii hata akipewa fedha!Enyi watu wabaya mjulikanao kama 'watu wasiojulikana,' nimezisikia njama zenu. Mnataka kuniumiza halafu mumsingizie Mwenyekiti wetu wa chama, Freeman Mbowe.
Ndivyo mlivyofanya wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe. Ndivyo mlivyofanya tena wakati mliponishambulia tarehe 7 Sept '17. Na ndivyo mlivyofanya miezi michache iliyopita mlipomteka nyara na kumuua Mzee Ali Mohamed Kibao.
Ndivyo mnavyofanya kila mnapoua watu wasio na hatia. Mnasingizia watu wengine ili nyie mnaohusika msiwajibike na udhalimu wenu.
Huyo mnayedhani mnamtumikia alitoa ahadi hadharani kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani. Waziri wake Masauni alirudia ahadi hiyo bungeni.
Mkiniumiza kama mnavyopanga mjue lawama yote itaangukia kwa Samia Suluhu Hassan. Badala ya kumlinda mtamchafua zaidi. Na kama ilivyokuwa kwa Magufuli baada ya 7 Sept '17, ndivyo itakavyokuwa kwa Samia.View attachment 3178142
Sasa wew kushindwa kwako kum control mke wako hadi mbowe akawa anaruka nae unadhani lisu ni poyoyo kama weweMdomo wake haujawahi kuwa na utulivu wala staha wala hekima wala umakini wala utaratibu.ukimwambia weka ushahidi anaanza kujiuma uma tu.ndio maana nimesema ya kuwa itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa kwa CHADEMA kumchagua Lissu kuwa mwenyekiti wake. Lissu hawezi kujiongoza hata yeye mwenyewe. Ndio maana anashindwa kuongoza hata kauli na Maneno yake.