ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Lugha kama hizi za kuchafua watu bila ushahidi ndio Huwa Zina wa cost mnaanza kulaumu wengine.Samia kapewa maelekezo na waarabu ya kulinda ''uwekezaji'' wao. Wametoa fedha nyingi za kuhonga vyama vya upinzani ili visimpe upinzani na kuanika uovu wake na wakati wa uchaguzi visitoe upinzani kamili. Lissu pekee ndiye aliyekataa hii hongo ndiyo maana wanapanga njama za kumuumiza. Unakumbuka yule simba wa kwenye maonyesho ambaye Samia alisema ''hatulii kama Lissu'' hivyo aitwe Lissu? Alikuwa anamaanisha hatulii hata akipewa fedha!
Unaweza tuwekea ushahidi?