Usifikiri LISSU ni mwepesi kihivyo kama wewe mpuuzi kwa taarifa Yako Kuna watu wema ndani ya vyombo vya usalama wanampa LISSU taarifa sahihi ni watu wema wasiopenda upuuzi wa ccm walioko kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
 
2017 alipeleka ushahidi polisi mpaka namba za gari iliyokuwa inamfuatilia. Akifa utashangilia kwa sababu ulimi wako umezoea ladha ya damu ya watu. Ccm ni chama changu ila mtanzania yeyote akifa naumia, sababu huko tunao ndugu pia. Wewe ndiye unaropoka.
 
Gunia la mimavi alikuwa anabebeshwa Mbowe na UVCCM wangelikomalia kama ambayo huwa wanakomalia ya Chacha Wangwe, na hili la kutia nia ya kugombea uenyekiti kwenye chama chake ndiyo ingedaiwa kuwa ndiyo sababu.
Ndiyo faida ya kuwa na watu ndani ya system unatonywa zile nyeti za ndani, wasiojulikana na bosses wao watashikana uchawi kuhusu nani kavujisha hiyo mission.
 
Hizi siasa zimetufanya kuwa watu wabaya Sana, hili ni suasala la usalama wa mtu ana haki ya kujilinda Kwa namna yoyote hasa ukizingatia yaliompata.

Hizi siasa zitapiata ila undugu na utaifa wetu ni muhimu Sana Kuliko kitu lingine.

Naumia Sana kuona mtanzania mwenzako anamua mtanzania mwenzake.. Kwasabu ya mtazamo tofauti

Turudi kwenye misingi ya Utu
 
Lucas ana roho mbaya sijui analipwa nini huko ccm? Ni hela hizi huzi au kunakingine?
 
Kama lilivyo domo lako ambavyo Hadi huko ccm wamekupuuza hata uteuzi zero.
 
siasa za namana hiyo zilishapitwa na wakati lisu

watu tuko kwenye mageuzi kiuchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…