Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni jamii forum wewe kibaraka wa ccm unataka ushahidi gani??Lugha kama hizi za kuchafua watu bila ushahidi ndio Huwa Zina wa cost mnaanza kulaumu wengine.
Unaweza tuwekea ushahidi?
Hivi alivyotoa taarifa back in 2017 mpaka na namba za gari linalomfuatilia and 'the system' ignored lakini akashambuliwa kweli mpaka yajirudie yaleyale?Lugha kama hizi za kuchafua watu bila ushahidi ndio Huwa Zina wa cost mnaanza kulaumu wengine.
Unaweza tuwekea ushahidi?
Waambie wenzio mnajulikana.Huyo kiwete nani ana habari nae kwa sasa?
Umekurupuka,Kuna mtu nime.mnukuu hapo anaongea upuuzi na Wala simzungumzii Lisu.Hivi alivyotoa taarifa back in 2017 mpaka na namba za gari linalomfuatilia and 'the system' ignored lakini akashambuliwa kweli mpaka yajirudie yaleyale?
Na kwanini uchunguzi mpaka leo haufanyiki au mnadhani watu wamesahau?
Issue ya Ali Kibao aliyechukuliwa watu wakiona na kwenda kumuua kwa sababu gani polisi 'wanaogopa' kufanya uchunguzi? Wanamuogopa nani?
Hivi nyie UWT mnavyozusha kuwa ni vita vya CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnadhani huwa umma wa Watanzania hauna ufahamu wa kuchambua ukweli na uzushi?
Kwanini mlimuua Chacha Wangwe?
Mwili wa Ben Saanane mliufukia wapi?
Hivi kwenu solution pekee mnayoiweza ya kukabiliana na challengers kwenye ulingo wa kisiasa ni kuua tu?
Mpaka mlipompiga risasi hujui tu kama anaropoka?Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Ni mpuuzi sana huyo chawa wa ccm.Kama alivyoropoka kua anafatiliwa na watu baada ya siku Chache akapigwa risasi
We jamaa ni mshamba sana kama jina lako mwashambwa
Hatari 🤣 !Wanademka tu.
Ushahidi alioutoa wa namba za gari lililokuwa likimfuatilia kabla ya shambulio 2017 mliufanyia kazi? Je baada ya shambulio CCTV cameras/severs ambao ni ushahidi 100% wa tukio zima kwanini mliuficha?Katika andiko lake hilo la X ameweka ushahidi wa tuhuma zake? Unaweza kusaidia kuweka hapa jukwaani? Alisema kwenye chama chake yameingizwa manilioni ya rushwa je amewahi kuthibitisha tuhuma hizo? Je unaweza kutuwekea hapa majina ya hao watoa na wapokea rushwa wa CHADEMA? Yeye kama makamu Mwenyekiti alishughulikia vipi masuala hayo? Lissu alisema kuwa alitaka kuhongwa mapesa na mtoto wa Rais je amewahi kuweka ushahidi wa hata CCTV camera? Unaweza kutusaidia kuweka hapa?
Duh 🙄 !!Mpaka mlipompiga risasi hujui tu kama anaropoka?
Duh 🙄😳 😱 !!Hivi alivyotoa taarifa back in 2017 mpaka na namba za gari linalomfuatilia and 'the system' ignored lakini akashambuliwa kweli mpaka yajirudie yaleyale?
Na kwanini uchunguzi mpaka leo haufanyiki au mnadhani watu wamesahau?
Issue ya Ali Kibao aliyechukuliwa watu wakiona na kwenda kumuua kwa sababu gani polisi 'wanaogopa' kufanya uchunguzi? Wanamuogopa nani?
Hivi nyie UWT mnavyozusha kuwa ni vita vya CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnadhani huwa umma wa Watanzania hauna ufahamu wa kuchambua ukweli na uzushi?
Kwanini mlimuua Chacha Wangwe?
Mwili wa Ben Saanane mliufukia wapi?
Hivi kwenu solution pekee mnayoiweza ya kukabiliana na challengers kwenye ulingo wa kisiasa ni kuua tu?
Alipoto ushahidi Kuwa kun gari limekuwa likimfuatilia ulifanya nini??Mdomo wake haujawahi kuwa na utulivu wala staha wala hekima wala umakini wala utaratibu.ukimwambia weka ushahidi anaanza kujiuma uma tu.ndio maana nimesema ya kuwa itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa kwa CHADEMA kumchagua Lissu kuwa mwenyekiti wake. Lissu hawezi kujiongoza hata yeye mwenyewe. Ndio maana anashindwa kuongoza hata kauli na Maneno yake.
Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote
Si kuropoka. Ni kweli na ni uhakika. Na tunazo taarifa za uhakika...Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Hata mwanzo alisema kabla ya kushambuliwa na chama chako na mawakala wake wakamshambulia, ingawa huwa naona kinyaa sana kujujibu wewe kahaba ila basi nimekujibu hivyo nitatubu mbele ya safariKama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Wewe endelea kuropoka ropoka tuSi kuropoka. Ni kweli na ni uhakika. Na tunazo taarifa za uhakika...
Hiyo ndiyo mbinu ya CCM kutumia TISS miaka yote...
Hao TISS nao ni wajinga na wapumbavu sana kwani wanafanya kazi chafu ya kumwaga damu eti ili tu kuulinda huu utawala wa uovu chini ya CCM hii iliyokwisha kufa...
Safari hii hamtaweza, korodani zenu zimekamatwa na kuminywa kwa mkasi uitwao praiz...
Ni aidha afe Samia au CCM iachwe ijifie zake. Freeman Mbowe na Tundu Lissu, watakuwa salama na mwakani 2025 tunaye huyu kijakazi wenu wa Kizimkazi...
Tutamfukuza mpaka apotelee huko kwao Kizimkazi - Zanzibar atuachie Tanganyika yetu..
View attachment 3178615
Acheni kukaririHata mwanzo alisema kabla ya kushambuliwa
Hata mwanzo alisema kabla ya kushambuliwa na chama chako na mawakala wake wakamshambulia, ingawa huwa naona kinyaa sana kujujibu wewe kahaba ila basi nimekujibu hivyo nitatubu mbele ya safariAcheni kukariri