Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Wanademka tu.Watu wanacheza mpaka wanabinuka sarakasi 😂😅
Munyampaa anajua kuidunda Ngoma si mchezo 😅🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanademka tu.Watu wanacheza mpaka wanabinuka sarakasi 😂😅
Munyampaa anajua kuidunda Ngoma si mchezo 😅🙏
Hawa wanaoua hata mtoto mdogo aliyechoma picha ya Samia ,,Sembuse Lisu..Lazina ni kweli na ushahidi anaoKama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Akiisema chadema anaongea hoja kuntu, lkn akiisema ccm anaropoka.Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Muungwana hunyamaza. Mwehu hujibu lolote. Nimwambie alete ushahidi upi, na nimekuambia kabla hajashambuliwa alisema na kutoa taarifa polisi na namba ya gari iliyokuwa inamfuatilia. Mtanzania yeyote akifa unapata shs ngapi., unaijua siasa kuliko Mwl Nyerere au Mwinyi au Mkapa ? Uliwahi kusikia mtu kaokotwa katobolewa macho nk au ulikuwa hujazaliwa. Mropokaji ni wewe unayefurahia vifo vya watanzania wenzako. Nyamaza.Mwambie aweke ushahidi na siyo kuropoka ropoka tu bila ushahidi .anatafuta sifa tu baada ya kuona hauungwi mkono katika nia yake ya kutaka kugombea uwenyekiti
Kipara bila akiri nisawa kendeWa kupuuzwa huyo!
Kama kawaida Yako umekanusha bila ushahidi, não ni uropokaji, angalia wata ku P-DIDDYKama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Au TAKO....,👍🙏👍🤣😀Kipara bila akiri nisawa kende
Na alieanzisha tabia ya kumsingizia mbowe ni dalali zittoMbowe huwa anasingiziwa mambo mengi sana!
Aende kwenye hizi mahakama zikizokaa ma kesi ya kina Mdee zaidi ya miaka minne?Yeye ndiye aende mahakamani kama anataka.
Mkuu wewe na Lissu nani anaweza kuwa anaropoka bila ushahidi. Inaelekea unafahamu njama hizi ndio maana unataka kudown play tahadhari anayoitoa Lissu.Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Anawechezesha sindimba
Nategemea hawatakuwa wapumbavu kiasi hicho.Enyi watu wabaya mjulikanao kama 'watu wasiojulikana,' nimezisikia njama zenu. Mnataka kuniumiza halafu mumsingizie Mwenyekiti wetu wa chama, Freeman Mbowe.
Ndivyo mlivyofanya wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe. Ndivyo mlivyofanya tena wakati mliponishambulia tarehe 7 Sept '17. Na ndivyo mlivyofanya miezi michache iliyopita mlipomteka nyara na kumuua Mzee Ali Mohamed Kibao.
Ndivyo mnavyofanya kila mnapoua watu wasio na hatia. Mnasingizia watu wengine ili nyie mnaohusika msiwajibike na udhalimu wenu.
Huyo mnayedhani mnamtumikia alitoa ahadi hadharani kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani. Waziri wake Masauni alirudia ahadi hiyo bungeni.
Mkiniumiza kama mnavyopanga mjue lawama yote itaangukia kwa Samia Suluhu Hassan. Badala ya kumlinda mtamchafua zaidi. Na kama ilivyokuwa kwa Magufuli baada ya 7 Sept '17, ndivyo itakavyokuwa kwa Samia.View attachment 3178142
Ungeishia kwenye mstari wa kwanza unge eleweka tu vizuri, lakini umeamua kuuchafua kwa kuongeza madoido yasiyo husika kabisa na huo mstari wa pili.Kelele za Lusu zitaisha baada ya kushindwa uchaguzi
Lisu ana ji over rate sio saizi ya Mbowe yuko chini sana Mbowe yuko juu mno kumshinda
And,the CCMs are shaking it vigorously!Let's go!California love,shake it!