Lugha kama hizi za kuchafua watu bila ushahidi ndio Huwa Zina wa cost mnaanza kulaumu wengine.

Unaweza tuwekea ushahidi?
Hivi alivyotoa taarifa back in 2017 mpaka na namba za gari linalomfuatilia and 'the system' ignored lakini akashambuliwa kweli mpaka yajirudie yaleyale?
Na kwanini uchunguzi mpaka leo haufanyiki au mnadhani watu wamesahau?
Issue ya Ali Kibao aliyechukuliwa watu wakiona na kwenda kumuua kwa sababu gani polisi 'wanaogopa' kufanya uchunguzi? Wanamuogopa nani?
Hivi nyie UWT mnavyozusha kuwa ni vita vya CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnadhani huwa umma wa Watanzania hauna ufahamu wa kuchambua ukweli na uzushi?
Kwanini mlimuua Chacha Wangwe?
Mwili wa Ben Saanane mliufukia wapi?
Hivi kwenu solution pekee mnayoiweza ya kukabiliana na challengers kwenye ulingo wa kisiasa ni kuua tu?
 
Umekurupuka,Kuna mtu nime.mnukuu hapo anaongea upuuzi na Wala simzungumzii Lisu.
 
Ushahidi alioutoa wa namba za gari lililokuwa likimfuatilia kabla ya shambulio 2017 mliufanyia kazi? Je baada ya shambulio CCTV cameras/severs ambao ni ushahidi 100% wa tukio zima kwanini mliuficha?
Kama mlificha ushahidi ule wa shambulio la lengo la kumuua member of parliament kuna ushahidi gani mtakaoufanyia kazi?
Okay, let's say amevituhumu vyombo vya dola(na serikali kwa ujumla) sasa vinasubiri kitu gani kumuhoji ili vijisafishe na tuhuma hizo? Vinaogopa kuumbuka kwa atakayoyasema vikimuhoji?
 
Duh πŸ™„πŸ˜³ 😱 !!
 
Alipoto ushahidi Kuwa kun gari limekuwa likimfuatilia ulifanya nini??
 
Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Si kuropoka. Ni kweli na ni uhakika. Na tunazo taarifa za uhakika...

Hiyo ndiyo mbinu ya CCM kutumia TISS miaka yote...

Hao TISS nao ni wajinga na wapumbavu sana kwani wanafanya kazi chafu ya kumwaga damu eti ili tu kuulinda huu utawala wa uovu chini ya CCM hii iliyokwisha kufa...

Safari hii hamtaweza, korodani zenu zimekamatwa na kuminywa kwa mkasi uitwao praiz...

Ni aidha afe Samia au CCM iachwe ijifie zake. Freeman Mbowe na Tundu Lissu, watakuwa salama na mwakani 2025 tunaye huyu kijakazi wenu wa Kizimkazi...

Tutamfukuza mpaka apotelee huko kwao Kizimkazi - Zanzibar atuachie Tanganyika yetu..
Your browser is not able to display this video.
 
Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Hata mwanzo alisema kabla ya kushambuliwa na chama chako na mawakala wake wakamshambulia, ingawa huwa naona kinyaa sana kujujibu wewe kahaba ila basi nimekujibu hivyo nitatubu mbele ya safari
 
Wewe endelea kuropoka ropoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…