Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

kwahiyo ushenzi huo uhalalishwe mashuleni? kwani USWAZI kuna maadili? ndiyo maana kukaitwa uswahili, uncivilized society.... ni derogatory term kwa watu wa huko USWAZI...
Huyo waziri ambaye ni kilaza mwenzio
Ambaye ni sehemu ya maamuzi ya serikali
Ameshindwa kuzuia huo wimbo usiingie kwenye jamii matokeo yake anakuja kuazibu walimu ambao wanacheza wimbo ambao ni wimbo halali ambao serikali imeruhusu uwafikie wananchi ikiwemo hao watoto

Ambao wanauimba kama wameutunga wao
Kosa la mwalimu hapo ni lipi
Mbona naona kama waziri ndiyo mwenye makosa?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sawa kabisa. Ila kabla hajakufukuza awatafute waliotoa jina la hiyo shule unayofundisha na awape adhabu kwa kosa la kutumia jina hilo kwa vile linatia kichefuchefu kwa sisi wazazi.
Mpigamiti ni jina la Kijiji, tena ni makao makuu ya Kata ya Mpigamiti.
 
Duu mkuu naona wamekuvuruga, umepandwa na hasira kama umemwagiwa maji, maji ya betriii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walimu ni wazazi wetu na hadi tumefika hapa ni kwa nguvu ya Walimu.

Na hili kundi limekuwa likionewa sana na kutumiwa vibaya.
 
Kwanza nimefrahi mno kuona watoto na walimu kwa umoja wao wanaburuduka hapo hata cheo hinivui unatakiwa unipongee kwa kupiga mziki unaopendwa na wote shule siyo kusoma tu burudani kama hizo zinamfanya mtoto atamani kwenda shule
Waziri mzima na hajui hili

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Unataka ku establish nini? Very strange! Kuwa tusiwe wanafiki , tufanye mapenzi (sex intercourse) sebuleni kwa vile watoto wanajua kuwa baba na mama wanafanya ndiyo tukazaliwa? What are you trying to establish! take home msg ni ipi?
 
Maamuzi yaliyochukuliwa ni sahihi kabisa iwe fundisho kwa wakuu wote wa shule Tanzania ,kusimamia taaluma na maadili mazuri
 
Wanafanya hivi kwa sababu hawana maadili na mamlaka zinazohusika hazina maadili pia.
 
Unataka ku establish nini? Very strange! Kuwa tusiwe wanafiki , tufanye mapenzi (sex intercourse) sebuleni kwa vile watoto wanajua kuwa baba na mama wanafanya ndiyo tukazaliwa? What are you trying to establish! take home msg ni ipi?
Nataka uhalali wa kumtumbua mwalimu kwa kosa la kucheza wimbo kwenye tukio moja ilihali waziri aliyeruhusu huo wimbo upigwe miezi na miezi mpaka watoto wakaukariri hana kosa na yupo ofisini.
 
Ndio soko linataka hivyo, si waona hata wewe umekalili hicho kipande.
 
Watoto wanavyoimba inaonesha wanaujua wimbo tangu awali, this means kwamba kwa siku hiyo tu mwalimu mkuu hajasababisha mmomonyoko wa maadili kwa wanafunzi.
Nakazia hapo, kama kucheza na kufuatiza huo mziki ndio kosa, basi waziri ajue wanafunzi wameyajulia hayo mashairi uraiani
 
Wakirudishiwa vyeo walivyonyang'anywa, mimi nitakwenda kufungua kesi mahahakani. Nampa hongera sana Mh. Waziri wa Elimu kwa hatua sahihi alizochukua
 
Haniiii
 
Tatizo la Malaya kuvamia muziki linaanza kuonekana. Hivi hakuna vya kuimba zaidi ya mitusi.
Huyohuyo Zuchu unayemwita Malaya
Alialikwa na hao hao mawaziri,mwezi uliopita huko Geita,
Akaenda kuimba huo huo upuuzi wa honey, na upuuzi mwingine wa kwikwikwi sijui sugar sukari,,huku akiwakatia mauno na wakamshangilia.


Kama kweli wanataka kukomesha huu upuuzi,waanze wao kujitumbua ,waachie ngazi,
Ndio waje kutumbua walimu.

Na bado anapeta tu kwenye tasnia
Hakuna kitu wamemfanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…