Huyo waziri ambaye ni kilaza mwenziokwahiyo ushenzi huo uhalalishwe mashuleni? kwani USWAZI kuna maadili? ndiyo maana kukaitwa uswahili, uncivilized society.... ni derogatory term kwa watu wa huko USWAZI...
Mpigamiti ni jina la Kijiji, tena ni makao makuu ya Kata ya Mpigamiti.Sawa kabisa. Ila kabla hajakufukuza awatafute waliotoa jina la hiyo shule unayofundisha na awape adhabu kwa kosa la kutumia jina hilo kwa vile linatia kichefuchefu kwa sisi wazazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duu mkuu naona wamekuvuruga, umepandwa na hasira kama umemwagiwa maji, maji ya betriii
Waziri mzima na hajui hiliKwanza nimefrahi mno kuona watoto na walimu kwa umoja wao wanaburuduka hapo hata cheo hinivui unatakiwa unipongee kwa kupiga mziki unaopendwa na wote shule siyo kusoma tu burudani kama hizo zinamfanya mtoto atamani kwenda shule
Unataka ku establish nini? Very strange! Kuwa tusiwe wanafiki , tufanye mapenzi (sex intercourse) sebuleni kwa vile watoto wanajua kuwa baba na mama wanafanya ndiyo tukazaliwa? What are you trying to establish! take home msg ni ipi?Kwani target ni nini? Mtoto awe na maadili ya kinafiki anapokuwa shuleni tu?.
Ndo maana wakikua wanakuwa na unafiki wa maadili kumbe ni majizi ya kalamu, mafisadi, mamalaya. Ni kwa sababu ya unafiki waliokuzwa nao. Mtoto anajua wimbo wote badala ya watu kujiuliza kwanini watoto wanajua verse za wimbo wote wanatafuta kiki za kisiasa.
Maamuzi yaliyochukuliwa ni sahihi kabisa iwe fundisho kwa wakuu wote wa shule Tanzania ,kusimamia taaluma na maadili mazuriUamuzi waliochukua sio suruhisho. Suruhu kubwa ni kufungia na kuzuia nyimbo hizo kuimbwa maana hazina maadili kabisaaaaaaaa! Mamlaka zinazohusika yaani BASATA walione hili na kuchukua hatua Kwa nyimbo ambazo hazina maadili. Msanii wakiume anavaa kanga Moja na kupanda jukwaani manaake Nini? Na wengine wengi kabisa
kilaza mwenzio
Loh! Ngashangaa Sana.Mpigamiti ni jina la Kijiji, tena ni makao makuu ya Kata ya Mpigamiti.
two wrongs do not make aright!Unafiki tu. Serikali hiyo hiyo kupitia wizara ya sanaa ndo imeruhusu wimbo upigwe maredioni na watoto wanaujua.
Kwani unajua kilichotokea?Wana kosa gani? Hivi unadhani mtumishi wa umma anafukuzwa kazi kama unavyomfukuza mbwa wako hapo nyumbani kwako?
Na kuchoka kabisaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka kufika 2035 kizaz kitakuwa kimechakaaa
Ova
Nimehisi labda anaumwaHako kamoja lazima katakuja kuwa kabodigadi (bodyguard)
Maana dogo hachezi wa hacheki.
Wanafanya hivi kwa sababu hawana maadili na mamlaka zinazohusika hazina maadili pia.Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Nataka uhalali wa kumtumbua mwalimu kwa kosa la kucheza wimbo kwenye tukio moja ilihali waziri aliyeruhusu huo wimbo upigwe miezi na miezi mpaka watoto wakaukariri hana kosa na yupo ofisini.Unataka ku establish nini? Very strange! Kuwa tusiwe wanafiki , tufanye mapenzi (sex intercourse) sebuleni kwa vile watoto wanajua kuwa baba na mama wanafanya ndiyo tukazaliwa? What are you trying to establish! take home msg ni ipi?
Ndio soko linataka hivyo, si waona hata wewe umekalili hicho kipande.Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Nakazia hapo, kama kucheza na kufuatiza huo mziki ndio kosa, basi waziri ajue wanafunzi wameyajulia hayo mashairi uraianiWatoto wanavyoimba inaonesha wanaujua wimbo tangu awali, this means kwamba kwa siku hiyo tu mwalimu mkuu hajasababisha mmomonyoko wa maadili kwa wanafunzi.
HaniiiiMmh najaribu kutafakari na kuona kosa la walimu mpaka kuvuliwa nyadhifa zao sioni.
Tujiulize haya!
1.Je kosa ni kurekodiwa na kuwekwa katika social media au
2. Mziki kupigwa maeneo ya shule na watoto kucheza.
3. Je ingekuwa siku ya mahafali ya Darasa la saba na wimbo huo ukapigwa na wanafunzi wakaucheza je mwalimu angevuliwa nyadhifa yake?
Kiukweli tunakemea mmomonyoko wa maadili katika jamii yetu lakini mpaka wimbo umepita basata walichuja wapi na kuona utatumika kwaajili ya wakubwa tu na watoto hawata sikiza wimbo huo?
Watoto wanavyoimba inaonesha wanaujua wimbo tangu awali, this means kwamba kwa siku hiyo tu mwalimu mkuu hajasababisha mmomonyoko wa maadili kwa wanafunzi.
Kumvua cheo mwalimu mkuu ni Kuiambia BASATA kuwa walikosea kuruhusu wimbo huo.
Kwa maoni yangu mwalimu mkuu hana makosa ya kumvua cheo chake.
Yani Kiukweli mawaziri hukurupuka sana katika maamuzi, sijui ni poor kantiri ndo maana na mindset zetu zipo kama hali yetu ya uchumi.
Honeeey.
Huyohuyo Zuchu unayemwita MalayaTatizo la Malaya kuvamia muziki linaanza kuonekana. Hivi hakuna vya kuimba zaidi ya mitusi.