Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Halafu tunashangaa kwann siku hizi umalaya, mimba za utotoni, kuingiliwa kinyume na maumbile, ubakaji, utomvu wa nidhamu, kukosa adabu, kushuka kwa uwezo wa kufaulu na takataka zingine kushamiri katika jamii chanzo ni nini.
Sasa hawa watoto wameshika haya mashahiri ya hizi nyimbo mwanzo mwisho na wanaimba bila kukosea ila ukimuuliza mbili mara saba anababaika, watoto wanajazwa vichwa na akili haya mambo ya uchafu wa ulimwengu na walimu ambao ndio walezi na walinzi wa watoto wetu ndio wamegeuka kuwa wahamasishaji.
Kuna nyimbo nyingi sana za kusikiliza na kuwaimbisha watoto ila sio hizi za Wasafi nyimbo zilizojawa na kila aina ya mapepo ya uchafu wa kingono.
Inasikitisha sana.
Sasa hawa watoto wameshika haya mashahiri ya hizi nyimbo mwanzo mwisho na wanaimba bila kukosea ila ukimuuliza mbili mara saba anababaika, watoto wanajazwa vichwa na akili haya mambo ya uchafu wa ulimwengu na walimu ambao ndio walezi na walinzi wa watoto wetu ndio wamegeuka kuwa wahamasishaji.
Kuna nyimbo nyingi sana za kusikiliza na kuwaimbisha watoto ila sio hizi za Wasafi nyimbo zilizojawa na kila aina ya mapepo ya uchafu wa kingono.
Inasikitisha sana.