Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Wao ni wazazi pia
Hawana maadili🙏
Hawana maadili🙏
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimu hawana kosa jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimu hawana kosa jamani.
unashanga nini hata ukuu wa kaya ukifanya mchezo unavuliwa nduguKumbe ualimu mkuu Nacho ni cheo cha kumvua mtu?
Jaman si wangeanza na Zuhura had BASATA.Hamna
Anasimamia maadili mdogo wangu
Ukizaa wako utaelewa[emoji120][emoji108]
Bas wangepewa onyo au karipio.Wao ni wazazi pia
Hawana maadili[emoji120]
Na hapo utakuta wameweka kwenye kadi ya mualiko watoto hawaruhusiwi, watoto waishie kanisani.na hii kuwaweka watoto kwenye sherehe sijui za harusi au kitugani zilizo jaa watumia vileo naona haiko sawa kabisa
mtoto kasikia habari ya shule kajaza mashavu kabisa
Hapana hatulei wajingaBas wangepewa onyo au karipio.
Huko mtaan je?Hapana hatulei wajinga
Watatuharibia watoto
Alikuwa anaitwa Kangi lugola alikuwa mbunge wa mwibaraKuna yule waziri alikata mauno mbele ya no 1 namsahau jina
🤣👍✔️🙏Alikuwa anaitwa Kangi lugola alikuwa mbunge wa mwibara
TunadhibitHuko mtaan je?
Upuuzi na matumizi mabaya ya madaraka huo wimbo ni moja kati ya nyimbo zinazopendwa sana na watoto hata ukiwademote walimu wakuu unafikiria kutakua na mantiki yoyote kwa watoto?Unajua wanasiasa ni wapumbavu sana!
Sasa kumbe wanajua kabisa kuna nyimbo zisizokuwa na maadili sasa kwanini wazifungie kabla hazijavuja mitaani ili kuondoa hizi sintofahamu?hovyo kabisa.
Mkuu yupo wa mwaka 1 ana vaibika na hilo li mwimbo ina kera sanaMtoto wa miaka miwili ana enjoy vibe la honey, wawarudishe tu hao walimu