Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Uonevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kwa akili za makondaKTAWana kosa gani? Hivi unadhani mtumishi wa umma anafukuzwa kazi kama unavyomfukuza mbwa wako hapo nyumbani kwako?
Uonevu tu, mbona vitoto vinarukaruka tu,wala havijui nini wamaimba [emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787]Kuna jambo najiuliza lakini majibu sipati. Hivi BASATA wapo kwa ajili tu ya kufungia baadhi ya nyimbo au wana wasanii wao ambao hata wakiimba nyimbo za kipumbavu hawafungiwi au wanafungia nyimbo kwa kusikiliza maelekezo kutoka juu? Mimi naona BASATA ni kama genge la wahuni na wachumiatumbo ambao hawana msaada wowote katika kusimamia sanaa bali wapo pale kwa ajili ya kufurahisha watu fulani. Maoni yangu yanaungwa mkono na serikali ambayo imewashusha vyeo walimu baada ya kuwaruhusu wanafunzi kucheza wimbo huu hapa chini ambao hauna maadili.
View attachment 2801790
Serikali imewashusha vyeo walimu hao wawili na kuwapa karipio kali baada ya kuruhusu wahuni kutoka mtaani kuja kuwachezesha wanafunzi wimbo wa kihuni. Msikilize hapa Prof Adolph Mkenda akiwashusha vyeo walimu waliohusika na uhuni huu:
View attachment 2801794
SINTOFAHAMU
Ikiwa wimbo huu hauna maadili kwanini BASATA hawajaufungia? Je, hawaoni kuwa wameshindwa kazi waondoke ofisini? Je, katika hili sakata ni nani aliyekengeuka?
1. ni serikali ambayo imewafuta vyeo walimu kwa kuchezesha wanafunzi wimbo ambao haujafungiwa na BASATA?;
2. ni BASATA walioshindwa kung'amua maudhui ya kihuni yaliyomo kwenye wimbo husika na kuufungia?; au
3. ni walimu waliochezesha wanafunzi wimbo ambao haujafungiwa na BASATA?
Kwa ujumla, kuna tatizo mahali, sio bure. Nchi hii ina mambo ya ovyo sana.
Waziri husika huyo ni nani!?Hawajafukwa Kazi Isipokuwa Walimu Wakuu Maagizo Toka Kwa Waziri Husika
Kasema Watolewe Vyeo Vya Ualimu Mkuu, Kwa Hilo Jambo
Mihemuko tu, Nchi ya kichawa chawa tu[emoji24]nyimbo yenyewe imekaa kitoto toto [emoji1787]Tunadhibit
Mwanangu juzi ananiimbia hizo nyimbo,nikamwuliza umesikia wapi?manake nyumbani hazipigwi na Kuna channel tumeblock,akanambia anatupigiaga dreva tukienda shule[emoji1787]nikamwambia lol nitaongea na mwalimu,akanambia , hapana usimtaje[emoji1787][emoji23]akamwonea huruma kibarua chake mzee yule
Nikamwambia,ok usiwe unazisikiliza si nzuri,akajibu sawa mama,tukamaliza[emoji120]
Mapumbavu kabisa haya maccmChadema walikuwepo Tunduma
Mbona kwenye mikutano ya CCM Zuchu anaimba Nyimbo hizo hizo na Wanafunzi wanacheza mbele ya Viongozi wa CCM na Serikali?
Msiwaonee Walimu wakuu
Wimbo wa kukata viuno, siyo nzuri ni ku inculcate sense ya "ngono" kwa watotoWaziri husika huyo ni nani!?
Hao Walimu wamefanya kosa gani!??
Ahhh!!!
Wanatafuta kutirendiiiiiii huku wasijue kuna watoto. Hichi kizazi cha Zuchu kuna kazi ya ziada.Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Mpigamiti hauko pekeyako au afukuze wote?Mimi kama mwalimu mzoefu nachelea kusema kuwa waziri kakurupuka,shuleni sio mahali pa kujifunza ya darasani tu,kuna extra curriculum ambayo inajumlisha mambo hayo,huo wimbo wa kawaida sana,wasitake kutufanya walimu tuishi kama panya mashinoni
Kama wazirianaona hii comment imemkela na mimi anifukuze kazi,niko shule ya msingi mpigamiti wilaya ya liwale
Yani kwa vile wewe umejaa na mawazo ya kingonongono..unafikiri kila mmoja anawaza ngono..!?wimbo wa kukata viuno, siyo nzuri ni ku inculcate sense ya "ngono" kwa watoto
Hapana hawajafukuzwa bali walimu wakuu wametolewa kwenye ukuuSiongei mengi... Ni kweli!?? Wamefukuzwa kazi!?? Anyone.,..!!
View attachment 2801918