Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Tena walimu wenyewe wanacheza kawaida tuSijui labda macho yashakuwa ya uzee tena.... lakini sijaona kosa hapo la kufikia wakuu wa shule kuvuliwa vyeo tena ikiwa mari kutoka kwa waziri 🙁
Wimbo kukosa maadili ni akili yako msikilizaji unawaza nini, Sion tatizo na wimbo wa Zuchu huo Honey kwa maana sada hivi watoto wanajua mpaka kondomu, viongiozi wanaongea kondomu hadharani kwenye mikutano na hata katika televisheni neno kondomu ni kawaida sasa mtu kuimba Honey inakuwaje sio maadili. Ni sawa na ule wimbo wa Maua sama, kaimba SITAKI KIBAMIA MWANAUME MASHINE ila kwa kuwa BASATA imejaa wahuni ndio wakafsiri yale ni matusi lakini katika lugha fasaha au lugha ya kila siku una uwezo wa kusema neno KIBAMIA na hamna atakaekusitaki tofauti na ukisema neno ambalo ni tusi kama MNGESE au MAKU na mengine. So mi naona tatizo la akili chafu ndio chanzo tunaona nyimbo hazina maadili.
Huyohuyo Zuchu unayemwita Malaya
Alialikwa na hao hao mawaziri,mwezi uliopita huko Geita,
Akaenda kuimba huo huo upuuzi wa honey, na upuuzi mwingine wa kwikwikwi sijui sugar sukari,,huku akiwakatia mauno na wakamshangilia.
Kama kweli wanataka kukomesha huu upuuzi,waanze wao kujitumbua ,waachie ngazi,
Ndio waje kutumbua walimu.
Na bado anapeta tu kwenye tasnia
Hakuna kitu wamemfanya.
Kangi lugolaKuna yule waziri alikata mauno mbele ya no 1 namsahau jina
🙏👍✔️Kangi lugola
Kwani kikichezwa Radioni hao watoto hawaharibikiwi?Siyo kila kinacho chezwa radioni,ni lazima kichezwe mashuleni!!
Atiiii... WTFTunaviongozi wavivu wenye fikra duni wanashughurika na matokeo badala ya kudeal na chanzo cha matatizo.
Wimbo umeshatoka na unapigwa kila sehemu hakuna tamko la kukataza wimbo leo unamvua mtu cheo kisa wimbo WFK
Hili Taifa sijui lina watu wa aina gani.
Hizo hazina shida,kuimba matatizo ya jamii ndiyo mbaya.Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Hasa ule wa regalise marijuana cocaine is no good for you.Hongera sana mh Waziri tusiruhusu watoto wetu wakachezeshwa Huo upupu wa Zuchu Bora ingepigwa reggae wimbo mmoja wa Bob Marley au Lucky Dude.