Hii tabia ipo sana mikoani kutokana na watu kuhofia wanyama wakali usiku
We unaongea ukiwa wilayani? Halafu mkija vijijini Krismasi na mwaka mpya njooni na tochi mwende nje wenyewe mambo ya kutusumbua kila wakati tuwasindikize nje tumechokaHii tabia ipo sana mikoani kutokana na watu kuhofia wanyama wakali usiku.
Ukapata majibu gani?πUnajua nilikua ninajiuliza wamachinga wanajisaidia wapi na nani anawalindia bidhaa zao wakifanya zoezi la kujisaidia!
Hii Robert hawezi kuipa jibu naona hapo juu amecheka tu, means amekubaliana na ithabati ya kukojoa kwenye ndoo au kidumu, π ahahahaa...Kutokana na ukosefu wa ajira vibaka wamekua wengi sana. Unapofungua mlango usiku kwenda kujisaidia wanakulia timing na wao wanaingia ndani.
Basi uswahilini kuna vichaa wengiHuo ni moja ya magonjwa ya akili,mtu aliyetimamu hawezi kukojoa kwenye kopo au ndoo,halafu akae na huo uchafu mpaka asubuhi aende kuumwaga,kuwa na ugonjwa wa akili siyo kuokota vitu jalalani tu au kukimbia ovyo barabarani bila nguo,la hasha,yapo matatizo mengine yanaweza yakamkuta mtu yanayosababishwa na akili kuwa ngonjwa,moja wapo ni hili la kujisaidia kwenye makopo na ndoo.
We unaongea ukiwa wilayani? Halafu mkija vijijini Krismasi na mwaka mpya njooni na tochi mwende nje wenyewe mambo ya kutusumbua kila wakati tuwasindikize nje tumechoka
Mabobo ndio habari ya uswazi. Asubuhi mnapishana tu kumwaga kila mtu na bobo lake π€£π€£π€£π€£π€£ na hakuna anayeona ajabu.
Hii Robert hawezi kuipa jibu naona hapo juu amecheka tu, means amekubaliana na ithabati ya kukojoa kwenye ndoo au kidumu, π ahahahaa...
Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu zilizotolewa mwishoni mwa mwaka Jana hapa nchini,magonjwa ya akili yameshika Kasi.Basi uswahilini kuna vichaa wengi
Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu zilizotolewa mwishoni mwa mwaka Jana hapa nchini,magonjwa ya akili yameshika Kasi.
πππ....sawa chifu.We unaongea ukiwa wilayani? Halafu mkija vijijini Krismasi na mwaka mpya njooni na tochi mwende nje wenyewe mambo ya kutusumbua kila wakati tuwasindikize nje tumechoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli.Tatizo kubwa ni upatikanaji wa maji tiririka ndiyo kunafanya wengi wasijenge nyumba self contained.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahUnajua nilikua ninajiuliza wamachinga wanajisaidia wapi na nani anawalindia bidhaa zao wakifanya zoezi la kujisaidia!
Duuh kumbe kweli?ni uvivu
unakuta ni 'banda la uani', choo kipo mita 100 uko
mi nilikua natumia chupa za 'sayona', siyo kopo