Uchunguzi; Watanzania wengi hujisaidia haja ndogo kwenye makopo usiku

Tunajadili mikojo wakati tukisubiri treni za umeme.
 
Kama kweli unajuwa hali ya vyoo vya nyumba za kupanga usingeuliza hili. Kuna vyoo vingine ni vibovu, vichafu, vinatoka funza, wengine hushusha zigo juu, na zaidi yote havina usalama.

Unaweza kutumbukia chooni kirahisi. Sasa ukitumbukia usiku nani atakuokoa?

Wengi wanatmia makopo/ndoo kwa kulinda usalama na afya zao.
 
Sasa mfano mmejipigia bia za kutosha,au mmekunywa maji mengi wakati wa dinner,choo kipo nje huko mbali...

Kuna wengine ndoo ya lita kumi inajaza mkojo robo tatu ya ndoo.

Ukisema uende chooni hutalala aisee usiku mzima utafanya kazi ya kenda rudi.

Ukiwa ndoo lako unashuka kwa bed unaachia mzigo unalala.

Asubuhi ya mapemaaaa unawahi kabla watu hawajaamka unaenda kumwaga.

Sasa ole wako ujisahau upige teke bahati mbaya kojo limwagikie ndani ya nyumba..
[emoji28][emoji28]
 
Kama umekunywa maji mengi...utaamka tu ukojoe
 


Ikiwa ni hivi, nini kinawashinda wasiboreshe vyoo na kuviweka katika Hali ya Usafi?
 
Mnaishi maisha ya kimasikini sana lakini mtu akikuta uko sehemu umekaa umechongoa mdomo kuwasema watu utafikili umejitosheleza kwa kila kitu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…