Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 342
Yawezekana ni hemorrhoids.
Dawa yake ni kula mboga za majani zaidi, matunda yenye high fibre, ugali ambao haujakobolewa, na pia kunywa maji mengi.
Pia pata ushauri wa daktari.
NB: Mboga za majani huweza kumaliza kabisa tatizo.
Epuka vitu vigumu km vile mikate, buscuits, maandazi nk
Dawa yake ni kula mboga za majani zaidi, matunda yenye high fibre, ugali ambao haujakobolewa, na pia kunywa maji mengi.
Pia pata ushauri wa daktari.
NB: Mboga za majani huweza kumaliza kabisa tatizo.
Epuka vitu vigumu km vile mikate, buscuits, maandazi nk