Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

Asante sana kiongozi, umenijenga
 
🤣🤣🤣
 
daaah nimecheka kinyonge ,Ndo amekizohofisha chama chetu CHADEMA
 
Kwahiyo asingekwenda kumuona asingekua KINDLY MAN?
 
Watanzania wenzangu, mbona mnasema vibaya Hajati JPM na Kuhusu Saa100 wengi mnasema "Ameupiga mwingiii.." Mnajua kinacho endelea Bandarini, mnajua kinachoendelea Lindi, Mnajua kinachoendelea Tanganyika , na zanzibar je??
JPM,BWM,AHMwinyi wapumzike kwa amani
 
Sijui ni mungu gani huyo, lakini kama ndie huyuhuyu waliyekuwa wakimnyooshea viganja juu pale makaburini, basi ukumbuke pia ndie huyu huyu anaye watetea Wamasai wa Loliondo.
Muhimu sana lile shetani la Chato limetangulia
 
Chuki chuki chuki.
 
Wewe ndio MUNGU unapanga na umri wa kuishi watu
Mbona umeshindwa kuzuia vifo vya ndugu zako.
Kifo cha mapema cha Magu kilichochangiwa pia na roho yake mbaya isiyo na utu
 
Jiwe alitamani kumvuruga Mzee Ruksa kwa nini aende kumuona Lisu ....Saa 100 pia alienda....Amb Sikoine alienda Belgium weeee....akarudishwa faster...ngumbani
Hivi vifaa vyetu tunavyo vitumia, wakati mwingine vinatuangusha. Inabidi kuwa makini sana kuhakikisha neno nililokusudia kuliandika, ndilo lililoandikika!
Sina shaka -
SIKOINE=SOKOINE
NGUMBANI =NYUMBANI
 
Hata kama wapo ila hawezi kuwa Husein ambaye aliingia madarakani baada ya mauaji ya kutisha Pemba akishirikiana na Jiwe
Mzee Umempa udhuru mzee Mwinyi kwa kuwa kwake chama cha wadhulumati? Unajua hilo lichama kuwepo mule yahtaji uwe katili? Mimi ikifikia tu kuwa alikuwa mwanaccm naona nisisifie sana, hata Mwalimu JKN huwa nawashangaa baadhi yenu makada wa CDM hamumgusi isipokuwa TL pekee, inawezekana vipi mwalimu kutazama Chama kinapora mali za waTanganyika na kujimilikishia kisha yeye asiwe na kosa? Anyway Mola wake amsamehe, hata wewe Pascal Mayalla huwa nakupa vyeo, nikikumbuka usaliti wako juu ya mzee wako kwa ile dhulma aliyofanyiwa na hilo lichama nakuvua mavyeo yosyeee
 
Supposed he could not come to hospital then ,would you have the same thinking about Mzee Mwinyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…