Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Hii sio kweli, ni kweli Magufuli amekwenda peponi straight, ila pia amerejea duniani kwa proxy, hivyo matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2025 yatakuwa kama yale ya 2020!. Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama MagufuliHakuna kejeli mbaya kama hii yako tangu mwaka 2024 uanze .
Kwa hiyo Chadema hawajui lugha ya malkia hawafai kupewa nchi!...was a kindly man...
Mke wa mzungu lazima aandike kizungu ili hata mumewe ajue kilichoandikwa.lisu angeandika kiswahili tuh
Weka ushahidi wa picha, siamini na sita amini kuwa Mungu anawasiliana na wanaccm tu, mnahodhi maiti sasa mnataka kumhodhi Mungu!Mkuu Sexless , unless una uthibitisho, na ushahidi.
Japo JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani ndio maana amekwenda peponi, na hivi tunavyozungumza hapa, yuko mbinguni kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
Kwa sisi Wakristo, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hivyo kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu hata ukitenda maovu kiasi gani, ukaja kutenda mema mengi kuliko yale maovu, unaingia peponi!. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Magufuli pamoja na uovu wake wote wa mwanzoni, baadae ilikuja kubadilika na kuwa mwema kama malaika by the time anatwaliwa, he was a saint!.
P
Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Mungu hajawahi kuwa Fala mpaka apokee mwakilishi wa Shetani nchini TanzaniaHii sio kweli, ni kweli Magufuli amekwenda peponi straight, ila pia amerejea duniani kwa proxy, hivyo matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2025 yatakuwa kama yale ya 2020!. Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
P
Umeandika kijinga sana !Kwa Lisu watu wema ni wale tu waliokwenda kumsalimu Hospital.
Vipi kwa wale wasiokwenda kwa kukosa nauli??
This guy is sick in his head.
Umejibu kipumbavu mno.Umeandika kijinga sana !
Ni kweli unaweza kuuliza wazee wastaafu walikuwa wapi. Lakini somo la saikolojia na hulka ya binadamu ndiyo inatoa jibu. Ukiacha kiongozi mmoja na mwingine nusu, wengi wao wanajali namna watakavyotaka kuzikwa kuliko kugombana na viongozi wa sasa. Hili jibu nalitoa kama unataka maelezo yasiyo ya kinafiki! Watu wanaopigana mpaka kufa ndiyo wenye jina la "Mwenye heri" au "Saints". Watu hao ni wachache sana duniani!Mkuu ukisoma katiba kuhusu rais ndo utajua balaa lake. Mtu ambaye hashtakiwi kwa kosa lolote alilofanya akiwa madarakani ni hatari. Halafu pia katiba imetamka wazi kuwa sio lazima afanyie kazi ushauri atakaopewa. Kimsingi hakuna mtu yeyote hapa Tanzania anaweza kumvimbia Rais
Huyu mwamba kavurugwa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka adhabu iongezeke Huko aliko?
Mkuu hii Dua yako ya mwisho ni kibokoNadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
Tena atupwe choonNadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was a Satan in human face.
Afe tena huko aliko.
kwani lilikuwa swali ?Umejibu kipumbavu mno.
Zote mbili ni lugha rasmi Tanzania..lisu angeandika kiswahili tuh
Hahahaha,sure..Kama mwanasheria ngeli ndiyo hiyo,kazi ipolisu angeandika kiswahili tuh