Ukiona mtu anashabikia sana Simba na Yanga kuwa naye makini, wengi hawana akili timamu

Exquisite πŸ‘Š
 
We jamaa me mwenyewe nimeona ni kweli. Maisha yao hayana tofauti na ndege wa angani.
 
Kuna dalili nyingi za magonjwa ya akili zaidi ya hizo. Na magonjwa ya akili ni mengi zaidi ya Schizophrenia. Mfano hawa jamaa wanaonyesha obssesion ya hatari ambayo ni alarm kuwa kuna shida kwa kichwa.
 
Kama kuna kaukweli fulani hivi.
 
Sawa sawa.
I have many answers to give, lakini hapa nimechoka mkuu wangu may be next time tutaangalia ni kwa namna tutalijadiri. Kwa sasa unaweza kuendelea na wengine

Lakini muktadha wa maono yangu ni Welfare of the Sports and not Welfare of the Confluence(ushabiki).
 
Kuna dalili nyingi za magonjwa ya akili zaidi ya hizo. Na magonjwa ya akili ni mengi zaidi ya Schizophrenia. Mfano hawa jamaa wanaonyesha obssesion ya hatari ambayo ni alarm kuwa kuna shida kwa kichwa.
Umetaja mashabiki wa Simba na Yanga tu....

Kwa hiyo wa Liverpool na Man Utd hawamo ?!!!

Wa Barca na Madrid ?!!!

Wa PSG na Marseille?!!!

Mkuu kama wewe huupendi mpira wa miguu wa vilabu....kama wewe si mwanachama na shabiki wa hivi vilabu basi "hatukushangai" na usitushangae.....

Inawezekana hata wewe uko "obsessed" na kazi.....uko obsessed na mapenzi/mke....uko obsessed na "internet" ,movies ,novels ,magazines etc........

N.B

Mkuu kuna UKICHAA usio na "delusion na hallucination"?!!!
 
Mi nimeobserve kwa mashabiki wa Simba na Yanga. Bila shaka watakuwepo wa aina kama hiyo wanaoshabikia Barcelona, Madrid, nk.

Mkuu kila kitu kinatakiwa kufanywa kwa kiasi, kikizidi huwa ni shida. Unampata Don Quixote? Mashabiki wanazi wamepata upungufu wa akili kama alivyopata Don Quixote. Obsession isiyo na afya.
 
Sema mwenyewe nilichogundua na mimi ni kuwa wanasiasa wapo allergic na mpira yani ukiongea tu mpira utasikia hayo yanakusaidia nini kama kijana sijui sasa wao wanapenda tujitwishe masiasa haya ya kibongo ambayo practitioners wake tia maji tia maji😏😏
 
Sawa....

Hicho kiasi unachosema NI NANI ANAKIPIMA?!!!

Hivi kiasi cha MATENDO/MAPENZI yako kuna aliyemiliki KIPIMO CHA KUKUPIMA ama nalo pia ni "fantasy"?!!!

Mpira wa miguu ni mchezo unaopendwa sana kuliko mingine duniani.....unataka wanaume tunapokutana tuongelee nini kwa muda mrefu?!!

Topic za kisayansi??!!!
Siasa zisizo udaku?!!!

Hivi hujiulizi kwanini WANAUME wanaopenda mpira huwa hawapati "boredom" kuongelea mpira kwa muda mrefu zaidi ya TOPIC nyinginezo ?!!!!

Ana unataka tuongelee habari za vitoto vyetu,hulka zao na wake zetu masaa 4?!!🀣🀣
 
Sijui aliyeanzisha mpira wa miguu alifikiri nini? Watu wanafukuza ngozi ya ng'ombe kwa dakika 90 eti football inafikirisha sana.
 
Wengine wamefeli katika mipango yao, waliuza Mali zao wametengana na walio wapenda na kuachishwa kazi. Watu hawa hujifariji kwa ushabiki usio pimika. Niwepesi wa lugha chafu kupigana nk. Maisha huwachapa hiyo ndio sababu.
 
Yaani hakuna nisichopenda Kama mpira hata wacheze Simba na yanga me sina habari.
 
Nchi nyingi zenye ushabiki mkubwa wa timu katka mchezo wowote ule, huwa zimeendelea kiuchumi na kimaisha (socially).
 
Maofisini Ni heri uvuruge mastori hayo hata mademu ila sio itikadi za kisiasa
 
Pasipo kusahau mashabiki wa team WCB,KIBA& KONDE GANG
Malizia kabisa timu wema na timu zaribili wodi ya vichaa ikamilike maana kuna vichaa wafanya fujo, wavua nguo na ma mental fresh ila mwezi wao ukifika wote wodini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…